Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,129
- 18,743
- Thread starter
- #61
Kuiaresti mijamaa!kufanyaje
Kuiaresti mijamaa!kufanyaje
Ni kweli kabisa kwamba swali hili lilipanga kuonyesha kuwa una viashiria vya kurithi mambo fulani toka kwa baba yako🤣
Hata polisi nao wanabakwa, ni kwa vile tu hawapigi kelelesasa dada zenu wanabakwa na nyinyi mko mnaangalia,au mmebakwa wote kwa pamoja??
Zero hajawahi kuwa timamuHuwa najaribu kumuelewa IGP Sirro katika suala la kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe, hadi najiuliza hivi kweli uwezo wa IGP Sirro katika kufikiria ndio umeishia hapo?
Hamna kes hata wakihukumu ukweli ni kwamba kes imebubwa na niselikar imeaa mua kwa manufaa ya wachache.nashauli tusiwe wepesi kutoa hukumu na kuanza kubagaza watu kabla kesi haijafika popote,
wapo mashahidi wa kutosha
tusubiri watoe ushahidi wao then tuupime.
Hata polisi nao wanabakwa, ni kwa vile tu hawapigi kelele
Kingai hawezi kuasisi kesi ya kabila hiyo bila kuwa na shinikizo kutoka kwenye mamlaka za juu yake.Inshort hii kesi feki imepikwa na Ramadhani Kingai alafu sirro na boss wake wakajitwika msalaba bila kujua madhara yake ya baadaye.
Ndio uanaume kubakwa na kutopiga kelele? Mkuu una tatizondio unaume huo,kulia lia mbele za watu ni fedheha.
tena wakamhamishia na Dar es Salaam kabisa kutoka Arusha, wakampa na U RPC...yaani hili Jeshi la Polisi linachezewa sana katika miaka ya karibuni!Inshort hii kesi feki imepikwa na Ramadhani Kingai alafu sirro na boss wake wakajitwika msalaba bila kujua madhara yake ya baadaye.
Naamini kule cpp from day one, nikufundisha kupiga tuu virunguu hadi wana maliza mafunzokesi ya mbowe imetupa picha kuwa CPP VYUO VYA POLISI vinahitaji reformations sana!!yaani polisi hawana mafunzo ya uweledi zaidi ya kupiga watu tu!!
Usisahau ni mwl kitaaluma ( BA in Ed.), ku- saikolojia yupo vuzuri.Sirro amesoma seminary na Mkatoliki pia, sijui anamwamini Mungu yupi?
Uongozi wa polisi na polisi wao wanafanana. Wanafukuza boda boda kuvuka mpaka, uongozi unawafukuzwa wote. Wamesahau jeshini mambo yanakwenda kwa amri. Hakuna waliotoa amri? Gari ipo kwenye mwendo, ulitegemea wakaidi wa amri waruke?Naona hujui kwamba shahidi wa kwanza ndio anapangwa ambaye atatoa the highest impact (damage) kwenye kesi. Sasa kama the highest impact ya IGP Sirro ni ushahidi wa Ramadhani Kingai, basi IGP na jeshi lake wote ni watu wa kuhurumiwa sana - ndio hao wanafukuza bodaboda hadi Malawi!
Una point nzuri Mkuu. Labda walikubaliana wote. Lakini kihalisi Mkuu wa huu msafara (detail) ndio alipaswa kuwajibishwa. Point nzuri umetoaUongozi wa polisi na polisi wao wanafanana. Wanafukuza boda boda kuvuka mpaka, uongozi unawafukuzwa wote. Wamesahau jeshini mambo yanakwenda kwa amri. Hakuna waliotoa amri? Gari ipo kwenye mwendo, ulitegemea wakaidi wa amri waruke?