Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
- Thread starter
- #21
Achana naye, nimeshaona kumbe hata suala la analogy hajui, sasa mtu kama huyo ushauri wangu kwake ni kwamba aende shule zaidiInaonekana wewe unamapungufu.
Anachozungumza mwenzio, ni Mr Bean kwa maana ya upuuzi wake. Katika upuuzi wake anasaidia watu kwa kipuuzipuuzi hivyo hivyo.
Akiwa Atikson( kama nimepatia jinalake halisi) hafanyi au kifikiri kama Mr Bean, huko kwongine.