Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,526
- 13,013
kumbe kasema majaliwa? hukumbuki ile ziara ya April kule mtwara kichaa alisema ameagiza bl50 ziletwe wakulima walipwe na majina ya waliyolipwa yabandikwe? yalibandikwa? walilipwa? sasa kuna kongonjera za kongamano la korosho.atawaita watu ataongeaaaaa. hamna kitu kipyaSafari hii ni Kasim Majaliwa ambaye aliahidi kuwa pesa italipwa mwezi huu. Duh!!