Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
Ndugu watanzania, kuna mengi tumeyashuhudia tangu Novemba 2015 hadi leo. Bila shaka yapo katika makundi mawili YALIYOTEKELEZWA na YASIYOTEKELEZWA.
(Uhuru wa vyombo vya habari, kutoingilia mihimili mingine, mahakama ya mafisadi, milioni 50 kila kijiji, elimu bure, soko la mazao ya wakulima, mikopo elimu ya juu, dawa hospitalini, nyongeza ya mishahara, ajira kwa watanzania, bombardia, dreamliner, airbus, sgr, stieglers gorge, flyovers, viwanja vya ndege, ukuta wa mererani, ununuzi wa korosho, makinikia, kishika uchumba cha madini, acacia $180b, kuwabana wafanya biashara, vitambulisho vya wamachinga, laptop kwa kila mwalimu, tumbuatumbua, vyeti feki, Watumishi hewa, ...). Kati ya hayo, yapi yamemgusa mtanzania wa hali ya chini na ya kati?
Je, wewe kama raia wa nchi hii, yaliyotekelezwa ni bora kuliko yasiyotekelezwa au yasiyotekelezwa yalitakiwa kutekelezwa kwanza?
Tumia UFUNGUO huu KUFUNGA au KUFUNGUA makufuli yote 2020!
©Tanzania Kwanza.
(Uhuru wa vyombo vya habari, kutoingilia mihimili mingine, mahakama ya mafisadi, milioni 50 kila kijiji, elimu bure, soko la mazao ya wakulima, mikopo elimu ya juu, dawa hospitalini, nyongeza ya mishahara, ajira kwa watanzania, bombardia, dreamliner, airbus, sgr, stieglers gorge, flyovers, viwanja vya ndege, ukuta wa mererani, ununuzi wa korosho, makinikia, kishika uchumba cha madini, acacia $180b, kuwabana wafanya biashara, vitambulisho vya wamachinga, laptop kwa kila mwalimu, tumbuatumbua, vyeti feki, Watumishi hewa, ...). Kati ya hayo, yapi yamemgusa mtanzania wa hali ya chini na ya kati?
Je, wewe kama raia wa nchi hii, yaliyotekelezwa ni bora kuliko yasiyotekelezwa au yasiyotekelezwa yalitakiwa kutekelezwa kwanza?
Tumia UFUNGUO huu KUFUNGA au KUFUNGUA makufuli yote 2020!
©Tanzania Kwanza.