Vicenza
JF-Expert Member
- Oct 5, 2019
- 969
- 1,464
Mara nyingi baadhi ya madereva Wana kimbiza sana magar hasa hiz Costa Zina kimbiaga sana Hata huki Kanda ya kaskazin Arusha moshi Costa Zina ongoza Kwa speed sana ,na uendeshaji wa hao madereva ni WA hovyo sanaKatika nchi za Africa mashariki Tanzania inaongoza Kwa ajili hii inatokana na barabara zetu za hovyo na miundombinu ya kijinga