Bome-e anasema keshavamiwa ila ana utu!! Kwa mwizi au jambazi, sina ubinadamu nao, kinachowagharimu hawa ni kujirekodi tu, mengine wapo fair kabisa! Malipo ni hapa hapa!!Kuna rafiki yangu Mwanza walimvamia nyumbani kwake. Wakamkata mapanga vibaya sana, mwanae mmoja akauawa kwa mapanga, kisha wakaingia ndani na kuchukua fedha zote zilizokuwemo. Jamaa mpaka leo ni mlemavu. Alivoona hii video aliongea kama ulivoongea. Mtu kama hayajakutokea utakuwa na huruma lakini kama kimekukuta vizuri, sidhani kama utaongea habari ya ubinadamu maana wao wakija huo ubinadamu hawana.
Ukiona unaweza kufanya hayo basi wewe ni mnyama!Sina moyo wa hivyo aisee,siwezi kufanya kitu kama hicho!Bome-e anasema keshavamiwa ila ana utu!! Kwa mwizi au jambazi, sina ubinadamu nao, kinachowagharimu hawa ni kujirekodi tu, mengine wapo fair kabisa! Malipo ni hapa hapa!!
Unadhani jitu kama likuulia familia, linakujeruhi na linaondoka na mali zako. Unahangaika na polisi linakamatwa linatoa rushwa linarudi mtaani halafu linakuja kuku-threat tena!! Halafu nimuhubirie ubinadamu 😂😂😂
Bome-e anasema keshavamiwa ila ana utu!! Kwa mwizi au jambazi, sina ubinadamu nao, kinachowagharimu hawa ni kujirekodi tu, mengine wapo fair kabisa! Malipo ni hapa hapa!!
Unadhani jitu kama likuulia familia, linakujeruhi na linaondoka na mali zako. Unahangaika na polisi linakamatwa linatoa rushwa linarudi mtaani halafu linakuja kuku-threat tena!! Halafu nimuhubirie ubinadamu
Kuna rafiki yangu Mwanza walimvamia nyumbani kwake. Wakamkata mapanga vibaya sana, mwanae mmoja akauawa kwa mapanga, kisha wakaingia ndani na kuchukua fedha zote zilizokuwemo. Jamaa mpaka leo ni mlemavu. Alivoona hii video aliongea kama ulivoongea. Mtu kama hayajakutokea utakuwa na huruma lakini kama kimekukuta vizuri, sidhani kama utaongea habari ya ubinadamu maana wao wakija huo ubinadamu hawana.