Habari
Bei ya umeme ipo katika viwango tofauti tofauti na kiwango Cha chini ni kinatambulika kwa D1 ambapo katika kiwango hicho Kuna watumiaji wa majumbani wadogo ambao matumizi yao hayazidi unit 75 na wale wa zaidi ya 75.
Bei ya wasio zidi 75 ni sh. 100 bila kodi.
Aidha, TANESCO wilaya ya Korogwe mkoa wa Tanga wanawateja wa makundi hayo yote, miezi miwili iliyopita wameamua kuwapandishia bei watumiaji wadogo toka kiwango Cha sh.100 kwa unit moja Hadi sh. 250 kwa kwa unit kwa kigezo Cha kufanya uchunguzi Kama kweli ni mtumiaji mdogo. Jambo ambalo halina maana kwani kwenye mfumo wa TANESCO inaonesha matumizi ya mteja huyo jivyoni rahisi kujua Kama ni mdogo au mkubwa.
Uthibitisho kuwa ni wizi suala Hilo linafanyika Korogwe tu, na Wala sio Handeni au Muheza Wala Tanga mjini.
Kwa hili walifanyalo wanalipisha wateja gharama kubwa kuliko wanazo paswa, aidha nilijaribu kuwasiliana na TANESCO makao makuu hawajui suala Hilo.
Tunaomba wenye Mamlaka mshughulikie wizi huu ambao unaongeza hasira kwa wananchi dhidi ya Serikali yao.
Bei ya umeme ipo katika viwango tofauti tofauti na kiwango Cha chini ni kinatambulika kwa D1 ambapo katika kiwango hicho Kuna watumiaji wa majumbani wadogo ambao matumizi yao hayazidi unit 75 na wale wa zaidi ya 75.
Bei ya wasio zidi 75 ni sh. 100 bila kodi.
Aidha, TANESCO wilaya ya Korogwe mkoa wa Tanga wanawateja wa makundi hayo yote, miezi miwili iliyopita wameamua kuwapandishia bei watumiaji wadogo toka kiwango Cha sh.100 kwa unit moja Hadi sh. 250 kwa kwa unit kwa kigezo Cha kufanya uchunguzi Kama kweli ni mtumiaji mdogo. Jambo ambalo halina maana kwani kwenye mfumo wa TANESCO inaonesha matumizi ya mteja huyo jivyoni rahisi kujua Kama ni mdogo au mkubwa.
Uthibitisho kuwa ni wizi suala Hilo linafanyika Korogwe tu, na Wala sio Handeni au Muheza Wala Tanga mjini.
Kwa hili walifanyalo wanalipisha wateja gharama kubwa kuliko wanazo paswa, aidha nilijaribu kuwasiliana na TANESCO makao makuu hawajui suala Hilo.
Tunaomba wenye Mamlaka mshughulikie wizi huu ambao unaongeza hasira kwa wananchi dhidi ya Serikali yao.