MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,341
- 11,227
Muda umefika kuwe na electronic form submission, angalau kuna ushahidi wa kielectronic. Hili la hawa wakurugenzi ni usumbufu.
Electronic ndio mbaya sana,kila siku mtasaga menoDawa hapa ni electronic form submissions. Maana hii tabia imekuwa too much sasa, hata kama ukipewa picha; mtaleta hadithi kama za Mnyeti wakati ni mkuu wa wilaya. Rubbish
Nyie na uongo wenu, Mungu anawaona... Wakubwa zenu wanapanga mbinu zao za kisiasa, "Hapa hatushnd. Kwa hyo, Tchelewe kupeleka fomu, zitakataliwa. Bada ya hapo, tutapiga kelele kwamba tunahujumiwa. Marekani watasikia, Ulaya watakuja, magazeti yatasema.... Maisha yataendelea. "Mgombea wa chadema amefika ofisi ya msimamizi za 5 asubuhi , msimamizi katokea dirishani kakimbia , mgombea wa ccm kafika ofisi ya msimamizi saa 9 jioni wakati bado chadema wanasubiri , fomu ya ccm ikapitishwa chooni na kupokelewa kinyemela , hapo wawezaje kulaumu chadema mkuu , hii ilipangwa iwe plan B baada ya ile ya kupora fomu kushindikana , wajuzi wanasema ilipangwa kutoka juu na maagizo yote ya uharamia huu kapewa kihamia .
Electronic ndio mbaya sana,kila siku mtasaga meno
Unatuma fomu halafu mtandao unagoma utafanyaje?au fomu ikifika sivyo ulivyojaza utafanyaje
rejea ulioitumia haijitosheleziTanzania kuna mitandao zaidi ya 5, haiwezekani yote ikawa na shida, plus tutumie options mbalimbali, NEC wawe na site na fallback option iwe email. Mitandao ina ushahidi tosha, Rejea kesi ya Fast Jet na Mhozya uone power ya information
Fastjet yaamuriwa kumlipa abiria fidia ya Sh30 mil
Electronic sio nzuri kwa Africa changamoto ni nyingi sana we uoni ni rahisi hata mifumo ya kielectronic ikiwemo e payments ni rahisi kuiba kuibiwa kuchezewa kuliko mifumo ya manual.Mifumo ya kielectronic ni mizuri Kwa nchi zilizoendelea.Muda umefika kuwe na electronic form submission, angalau kuna ushahidi wa kielectronic. Hili la hawa wakurugenzi ni usumbufu.
Vyama vyote vichelewe ccm tu ndo wawahi inaingia akilini kweli,heri wangepokea hata za vyama vingine viwili vitatu hivi ili kuzuga kuliko kupokea form ya kijani chooni baada ya kupewa karani.Nyie na uongo wenu, Mungu anawaona... Wakubwa zenu wanapanga mbinu zao za kisiasa, "Hapa hatushnd. Kwa hyo, Tchelewe kupeleka fomu, zitakataliwa. Bada ya hapo, tutapiga kelele kwamba tunahujumiwa. Marekani watasikia, Ulaya watakuja, magazeti yatasema.... Maisha yataendelea. "
Kwa MTU anaesali Na mwenye utu pia kulinda utu Na heshima yake katu hawezi akawa sehemu ya uovu sababu nafsi yake itamsuta,Meck Sadik aliheshimu utu Na nafsi yake akaona hawezi shiriki uovu akaona ajivue na kukaa pembeni,Ktk himaya (lusipher)ya shetani wasaidizi wote lazima wawe mashetani.kwenye ngome ya shetani huwezimkuta malaika na ikiwa malaika atapenya basi vita itakuwa kubwa ndani ya ngome na mwisho lucipher atawatimua wote walozembea na kusababisha malaika aingie katika ngome yao.Ili kuwa na amani lazima kizazi cha Lucipher kifyekwe chote na Lucipher akose nguvu na kujitakasa.
Au labda walimpa mkurugenzi pesa ili afunge ofisi tangu saa 5! Ila Kama alipokea form ya “chama dume” chooni, dau litakuwa kubwa sana!Nyie na uongo wenu, Mungu anawaona... Wakubwa zenu wanapanga mbinu zao za kisiasa, "Hapa hatushnd. Kwa hyo, Tchelewe kupeleka fomu, zitakataliwa. Bada ya hapo, tutapiga kelele kwamba tunahujumiwa. Marekani watasikia, Ulaya watakuja, magazeti yatasema.... Maisha yataendelea. "
Kwa uzembe huu noaweza kubaliana na wewe.CHADEMA WAMEJITOA KIJANJA KOROGWE VIJIJINI, HAWAKUKATALIWA KUREJESHA FOMU.
Taarifa wanayosambaza Chadema kwamba mgombea wao amehujumiwa kwa msimamizi wa uchaguzi kukataa kupokea fomu zake sio za kweli.
Ukweli ni kwamba janja ya Chadema baada ya kuona mgombea wao ni dhaifu na asingepata kura hata 50 wakaona ni bora wajicheleweshe kurudisha fomu kwa makusudi halafu waje wasingizie kwamba Mkurugenzi amekataa kupokea fomu zao.
Chadema katika jimbo hilo wamejitoa kijanja kwani walishasoma upepo unavyokwenda hivyo wakaogopa kutumia gharama kubwa kwa ajili ya kampeni ilihali inajulikana wazi kwamba mgombea wao asingeweza kushinda.
Chadema inafahamika vizuri kwa kupanga maigizo ya kuwaumiza wafuasi wao kisha kuzisingiza mamlaka mbalimbali kuhusika ili ionewe huruma.
Augustino Chiwinga,
0659438889.
Ndio maana nikakwambia kuna fallback options. Jaza physical form, scan it, attach it kwenye mail, send it to tume. Hata kama wao hawana ushahidi, mail host wanao, na kuna time and dates. Sasa kama hata ku-protect account nayo ni ngumu, hilo litakuwa laorejea ulioitumia haijitoshelezi
Hapana najaribu kuendena na kilio kilio cha chadema cha kuhujumiwa. je ikitokea umejaza fomu mtandaoni wadukuaji wakaidukua fomu ikatoka una degree tatu wakati una diploma,bado tu hujaenguliwa?
Umenielewa lakini?Matukio ya waandishi wa habari kupigwa na kunyanganywa vitendea kazi vyao kwenye harakati za uchaguzi,sorry uchafuzi,hujazisikia?
Unafahamu kuwa anayemlipa mpiga zumari ndiye mchagua wimbo?
"Nimekupa gari,nimekupa nyumba,nakulipa mshahara,halafu wewe unipigie wimbo wa Ufipa!? ".
Sent using Jamii Forums mobile app
Matukio ya waandishi wa habari kupigwa na kunyanganywa vitendea kazi vyao kwenye harakati za uchaguzi,sorry uchafuzi,hujazisikia?
Unafahamu kuwa anayemlipa mpiga zumari ndiye mchagua wimbo?
"Nimekupa gari,nimekupa nyumba,nakulipa mshahara,halafu wewe unipigie wimbo wa Ufipa!? ".
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kwa Africa, asipofungua email je? Akisema technical problem haijafika on time je? Au imekosewa kujazwaNdio maana nikakwambia kuna fallback options. Jaza physical form, scan it, attach it kwenye mail, send it to tume. Hata kama wao hawana ushahidi, mail host wanao, na kuna time and dates. Sasa kama hata ku-protect account nayo ni ngumu, hilo litakuwa lao
Asipofungua.... kuna ushahidi kwamba ilitumwa kwa wakati, so ni tatizo la mpokeaji.Sio kwa Africa, asipofungua email je? Akisema technical problem haijafika on time je? Au imekosewa kujazwa
Sent using Jamii Forums mobile app