kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,087
- 15,933
Ushauri mzuri lakini nina hakika uongozi unajua unachokifanya tatizo ni nyinyi wanachama mlio gizani hamjui kinachoendelea huko ndani!
Hakika, bora ukweli uende mahakamani tuu na hakimu naye akiamua kujiingiza kwenye dhambi hiyo shauri yake.Mungu ni hakimu wa haki na iko siku jiwe lita hukumiwa.
Kwa sababu ni Jana tu ndo wamemwandikia mwenyekiti wa tume ya uchaguzi wakilalamikia suala hili na kumuomba apokee fomu za mgombea wao, tunataraji hatua zaidi zitafuata baada kumtanganza mgombea wa CCM kupita bila kupingwa!Sijui cdm wamekumbwa na shida gani, wana ushahidi wa wazi lakini hawaendi mahakamani. watetezi utasikia huko mahakamani ni kupoteza muda. Sasa wanashiriki uchaguzi hiyo tume ndio inatenda haki?
Kwani nawewe mlevi Kama waitara au magonywa ya utotoni yanaanza kukuludia?Ikiwa uchaguzi wa Korogwe mgombea wa CCM atapita bila ushindani hakika mnatengeneza anguko kubwa kwasababu sasa wapenzi wenu wataanza kukata tamaa jinsi mlivyo wazembe na msiochukua taadhari mapema.
Korogwe ni jimbo moja tu mnashindwa kurejesha fomu je majimbo 200 hali itakuwaje????
Tumechoka na blah blah,wekeni ushahdi kuwa mkurugenzi kakimbiaWewe ni pumbavu kabisa. Umeambiwa mkurugenzi amekimbia ili asipokee fomu, ulitaka wafanye nini?
kwa namna ingne naona ni sawa tu,kwani hata akithibitishwa huyo mgombea ccm watashinda tu!sasa kuokoa gharama acha apite bila kupingwaNijaribu tu kuwashauri wanachadema wote wakiongozwa na mgombea ubunge
Mzee acha kuruka ruka, weka hata link basi. Siku hizi sikuelewi kabisa mkuu wangu, umekuwa mtu wa kuandika kimajungumajunguMaelezo ya kilichotokea wakati wagombea wanarudisha form za uteuzi kwa msimamizi wa uchaguzi ambae ni Mkurugenzi wa Halmashauri huko Korogwe,yanapatikana katika account ya twitter ya Halima Mdee ambapo mtu aliemsindikiza mgombea wa CHADEMA anatoa ushuhuda wa kilichotokea.
Hakika awamu hii kuna mambo ya hovyo sana na civilisation hivi sasa ni zero kabisa katika siasa zetu.
Alafu kwa unafiki bila aibu utawasikia wakisema, "tumtangulize Mungu mbere!"
Ningeweza kukopi hiyo video na kuileta humu ila taratibu za JF ndio zinakwamisha.
Spite bila kupingwa mara ngapi? Chama ambacho kinashindwa kufanya timing ni chama mfu kabisa. Chadema ni saccos tu n sio chama cha kisiasaIkiwa uchaguzi wa Korogwe mgombea wa CCM atapita bila ushindani hakika mnatengeneza anguko kubwa kwasababu sasa wapenzi wenu wataanza kukata tamaa jinsi mlivyo wazembe na msiochukua taadhari mapema.
Korogwe ni jimbo moja tu mnashindwa kurejesha fomu je majimbo 200 hali itakuwaje????
Kule MKIRU watu walichoka na ukandamizaji wakaamua kupitia kila kijani mbele yao, tuliona vitendo vile kuwa sio vya kiungwana lakini jee msimamo wetu Wa wakati ule bado tunao?Hata shetani hafulahii matendo yao
Maelezo ya kilichotokea wakati wagombea wanarudisha form za uteuzi kwa msimamizi wa uchaguzi ambae ni Mkurugenzi wa Halmashauri huko Korogwe,yanapatikana katika account ya twitter ya Halima Mdee ambapo mtu aliemsindikiza mgombea wa CHADEMA anatoa ushuhuda wa kilichotokea.
Hakika awamu hii kuna mambo ya hovyo sana na civilisation hivi sasa ni zero kabisa katika siasa zetu.
Alafu kwa unafiki bila aibu utawasikia wakisema, "tumtangulize Mungu mbere!"
Ningeweza kukopi hiyo video na kuileta humu ila taratibu za JF ndio zinakwamisha.
Wakienda mahakamani watageuziwa kesi.Si la Korogwe tu Mkuu, hadi Buyungu issue Ni the same.
Karatasi Za matokeo Buyungu zimewapa ushindi lakini hawaendi court, what's wrong with CDM
Hili ni jambo linaloshangaza wengi, na kufanya watu waamini kwamba huenda hata hivi vyama vinavyojitambulisha kuwa ni vya upinzani vina njama tusiyoielewa wananchi.
Haiwezekani wawe wanalalamika tuuu kila mara kwamba wanaonewa, halafu hawataki angalao kufuatilia haki na kutoa ushahidi uliowazi kwamba kweli wanaonewa kila mahali, hadi mbele ya sheria mahakamani.
Wao walichojua ni kuwa maandamano na mikutano ilizuiwa, wakiandamana wanapigwa, wakifanya mikutano wanapigwa, lakini hawapo tayari kufuata taratibu za kutafuta haki zao ili wananchi wote waone haki hizo zinavyonyimwa katika ngazi zote, bungeni hadi mahakamani. Hawataki kabisa kujihangaisha tena. Sijui walishahitimisha kwamba wananchi wameona vya kutosha jinsi wanavyoonewa na hakuna lazima tena kuendelea kuonyesha jitihada zao katika kutafuta haki hizo na ushahidi zaidi! Hawalazimishwi, kama wamechoka waachane kabisa na siasa? Inafaa kitu gani kuendelea kuwatia watu matumaini ya kuwepo mabadiliko huku watu wanaotegemewa kuongoza mabadiliko hayo hawana msisimko nayo. Hili linafanya tuwafikirie kuwa watafuta riziki tu mwanya ukipatikana. Usipopatikana, wanaendelea tu na maisha ya kubangaiza, mradi mkono uende kinywani.
Sasa chukulia jambo kama hili, la mtu tu anaamua kukiuka taratibu maksudi kabisa na kiburi. Wapinzani wanataka wananchi wajue tu kuwa wameonewa na huyu mtumishi, basi liishie hapo? Wanataka kutuambia "sasa tufanye nini kwa vile haturuhusiwi kuandamana kumzuia huyo mtu asituonee. Yangekuwa maandamano yanaruhusiwa leo pasingetosha, kama mlivyokuwa mnaona wenyewe enzi zile"?
Kuna kiasi cha kuonyesha huruma, ikizidi kiasi hicho hata wananchi wataona kuwa hawa hawastahili kuonewa huruma.
Kama unaweza kuingia JF,unashindwa nini kuingia katika twitter?Mzee acha kuruka ruka, weka hata link basi. Siku hizi sikuelewi kabisa mkuu wangu, umekuwa mtu wa kuandika kimajungumajungu
Ccm ni agent wa shetan dunianI wish one day Watanzania tufanye maamuzi magumu. CCM Ni adui mkubwa sana kuliko maradhi, ujinga Na umasikin
CC: Kibwana Dachi (Google)
Ikiwa uchaguzi wa Korogwe mgombea wa CCM atapita bila ushindani hakika mnatengeneza anguko kubwa kwasababu sasa wapenzi wenu wataanza kukata tamaa jinsi mlivyo wazembe na msiochukua taadhari mapema.
Korogwe ni jimbo moja tu mnashindwa kurejesha fomu je majimbo 200 hali itakuwaje????
Mtaishia kulalama,yabayofanyika leo hayakuwa mageni toka enzi hizo, tena yalikuwa zaidi kipindi chadema inawika kama jogoo...Ila walibanana...kwa sasa Tanzania inaongozwa na Mfumo wa chama kimoja kwa Pesa inayotumika kudhoofisha upinzani ni pesa nyingi sana ni pesa ambazo zingeweza kuleta maendeleo makubwa Tanzania yote ikiwemo kujenga nyumba za watumishi wa umma kule Dodoma na wote wangeweza kuishi kwenye makazi salama, lakini badala ya maendeleo CCM wanatumia pato la Taifa kukandamiza demokrasia kwa kuwabambikia kesi wapinzani, kuwapora ushahidi kwenye chaguzi mbalimbali kwa kutumia Polisi ni aibu kubwa kwa Nchi ya amani kama Tanzania kuendelea kupandikiza Chuki kwa wananchi.
Maelezo ya kilichotokea wakati wagombea wanarudisha form za uteuzi kwa msimamizi wa uchaguzi ambae ni Mkurugenzi wa Halmashauri huko Korogwe,yanapatikana katika account ya twitter ya Halima Mdee ambapo mtu aliemsindikiza mgombea wa CHADEMA anatoa ushuhuda wa kilichotokea.
Hakika awamu hii kuna mambo ya hovyo sana na civilisation hivi sasa ni zero kabisa katika siasa zetu.
Alafu kwa unafiki bila aibu utawasikia wakisema, "tumtangulize Mungu mbere!"
Ningeweza kukopi hiyo video na kuileta humu ila taratibu za JF ndio zinakwamisha.
Dawa hapa ni electronic form submissions. Maana hii tabia imekuwa too much sasa, hata kama ukipewa picha; mtaleta hadithi kama za Mnyeti wakati ni mkuu wa wilaya. RubbishTumechoka na blah blah,wekeni ushahdi kuwa mkurugenzi kakimbia
simu mnazo hata kupiga picha mnashindwa