Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,754
- 7,536
Ila mimi naomba kujua na toka jana najaribu kujua sipati majibu! Kwani fomu hazikurudishwa mapema zaidi ya Jana, au Jana ndo ilikuwa imetengwa pekee kwa urejeshaji wa fomu? Yaani kwanini msingewahi kwa Sikh moja au mbili hivi za kazi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app