Mungu awatangulie katika hayo mashambuliziHiroshima na Magasaki wengi hatukuwepo dunian,,ilipigwa atomic moja matata sana pale,,sasa limeboreshwa kwa miaka zaid ya 50 likipigwa pale Seoul kizaz hiki kitashuhusia na haitasahaulika mpka dunia iishe,,team us tunakwenda kuionyesha dunia kwamba kuna Marekan moja tu dunian
Mkuu acha kufikir hivyo kuwa NK ni tishio kwa amani ya Dunia,NO!The US won't let the rogue state of N Korea strike first.
N Korea regime is a real threat to the world peace
Big No! NK ni Nchi huru, hapa oppressor ni USAThe US won't let the rogue state of N Korea strike first.
N Korea regime is a real threat to the world peace
Fitna zote mapunk anazijua ndo maana amekaa kimya tu utadhan koboko(Black mamba)NK atapigwa tu. US wanavyojua fitna, wanaweza hata kujilipua wenyewe halafu wamsingizie NK ili wapate internal na external support ya kuichapa NK.
Bado nakumbuka vizuri sana fitna ya WMD iliyopigwa dhidi ya Iraq. US ni habari nyingine sana.
Utawala wa kiimla wa N Korea hatari kwa usalama, mtu makini hupaswi kuunga mkonoMkuu acha kufikir hivyo kuwa NK ni tishio kwa amani ya Dunia,NO!
Hapa ni kwamba Maendeleo ya Marekani yanategemea sana nguvu yake kijeshi ktk Dunia hii hivyo bas atatumia nguvu yoyote kuweza kuzoofisha nchi yoyote inayoonekana kukua kijeshi Dunia hasa nchi zisizofungamana nayeye
Na mara nyingi US husema hivi kama nchi ni tishio kwa usalama wa Dunia,Mara kupambana na ugaidi,mara kulinda haki za raia n.k
But this time ameingia choo cha kike
Yaan kama ingekuwa kwenye betting hapa ningeweka option ya 12,maanake either US au NK mmoja wapo apigwe
The US has no problem with great people of N Korea. For the US problem is with autocratic regimeBig No! NK ni Nchi huru, hapa oppressor ni USA
Nope, I watched a documentary not long ago. USA says It's problem with NK is regarding the Nuclear Missile test, not it's leadership. but nonetheless we will see. Hakuna tutachosema kinachobadilisha kitu, wacha tuinjoy muviThe US has no problem with great people of N Korea. For the US problem is with autocratic regime
Akishapinduliwa wewe utapata faida gani?Naunga mkono hoja Kim lazima apinduliwe
me sishabiki vita ila naona nk.wanaonyesha isia zao kua sio kila utawala unapenda kua vibara wa usa.hawa jamaa wamejipanga kufa ata wote kuliko kua vibaraka usaMimi sio Dogo. Niko imara na fahamu zangu nyingi tuu. Vita in utashi na uzalendo kijana. Vita ya kagera ss tulikua na nn kuliko Idd Amini ?vita ya Viet nam walikua na nn ? Mmarekani alipigwa asubuhi. Nk iko huko huko Am. Alipopata kisago (1972),
Sasa huo utawala wa kiimla unamuhusu nin marekan.Unatakiwa kufikiri nje ya box ili unielewe maana yangu mkuuUtawala wa kiimla wa N Korea hatari kwa usalama, mtu makini hupaswi kuunga mkono
Utawala wa Kim ndiyo unafanya hayo majaribio sasa huoni logic yako haina mashiko kusema US hana tatizo na leadership under president Kim?Nope, I watched a documentary not long ago. USA says It's problem with NK is regarding the Nuclear Missile test, not it's leadership. but nonetheless we will see. Hakuna tutachosema kinachobadilisha kitu, wacha tuinjoy muvi
The US has no problem with great people of N Korea. For the US problem is with autocratic regime
Utawala wa Kim ndiyo unafanya hayo majaribio sasa huoni logic yako haina mashiko kusema US hana tatizo na leadership under president Kim?
Rudia kusoma ulichoandika.
And for your info....the hostility btn the US and rogue state of N Korea have not began lately. In fact it goes back before 1995 when the administration of Clinton threatened to attack N Korea.
Kim analazimisha nchi yake kuwa na nyuklia kwa ajili ya masilahi yake si masilahi ya watu wa N Korea. You should have know this before you come up with your documentary blah blah blah
Unadhani United States anafanya haya kwa kukurupuka?Sasa huo utawala wa kiimla unamuhusu nin marekan.Unatakiwa kufikiri nje ya box ili unielewe maana yangu mkuu
Hata kwa Marehemu Gaddaf alisema hivyo hivyo wakat hao waliompinga Marehemu ilikuwa trick ya us ili badae aingie kwa kigezo cha kuwa unga mkono.But ni nchi gan iliyokuwa na raha ya kuishi kama Libya baran Africa then hii Libya ina nin hasa mpaka NATO kutumia gharama??!!
Fikiria sana mkuu,Marekani siku zote anataka kutawala Dunia kijeshi ili kulinda maslah yake hakuna sababu nyingine mkuu.
Yaan hata Tz itagundua kiwango kikubwa cha mafuta ya petrol kuwahi kutokea Dunian then tukasema tutalinda kwa kuhakikisha mafuta hayo yanachimbwa na kuuzwa kwa uongoz wetu tu bila ya kumshirikisha US bas tutapigwa tu maana hakuna namna sasa.
Na watu wenye kumfahamu vizur Us bas wanaomba vita itokee na Us ashikishwe adabu maana n mtoto mtukutu
N Korea is a real threat to the world peace. You should know thisLame excuses as usual - buzz word "regime change!!" What a crafy way of Trump/CIA trying to instigate Korean people to revort against their leader, he goes "the US has no problem with great people of N Korea, the problem is with autocratic regime" - "autocratic regime" - utawala ya KK unawahusu nini, eti hana tatizo na raia wa KK huku anajitayarisha kuwamaliza na thermonuclear bombs - kisa? hampendi kiongozi wao, Trump yupo tayari kufanya miscalculation na kuitumbukiza Dunia kwenye vita ya thermonuclear, ajabu SANA.
It is sad you fail to recognize the danger of N Korea nuclearIs USA the world Police? KIM kufanya majaribio ni biashara zake binafsi. Jaribu kuvuta kumbu kumbu kidogo kwa Kilichojiri Libya na Iraq. Ipi kati ya Nchi hizo zilinufaika kwa kuingia mmarekani?
USA yuko tayari kufanya mazungumzo NK ili kusitisha program zake za nyuklia, na si kuhusu mfumo wa uongozi wa KIM au udikteta.