Korea Kaskazini leo wameogopa kufanya majaribio ya silaha

Mzee wa kusawazisha

JF-Expert Member
Nov 30, 2016
1,587
1,136
Taarifa zilizotufikia Hivi punde ni kua japo Leo kulikua na maadhimisho makubwa ya kumbukumbu Za kuanzishwa kwa jeshi la Korea ya kaskazini hawajafanya jaribio lolote la silaha. Kama ilivozoeleka Wachambuzi wa masuala ya Kivita wamaeeleza kua ni hakika kua n Korea wameanza kuwa na hofu na marekani. Nawasilisha
 
Kesho Trump anakaa kikao na baraza la Seneta, maseneta 100 na waziri wa mambo ya nje na waziri wa usalama pia watahudhuria.

Agenda: kuijadili NK
Muda wote nilifunga mdomo na kutovisumbua vidole vyangu kuchangia huu mgogoro maana wengi walijawa na ushabiki pasipo kuwa na facts na statistic's ila baada ya kikao cha kesho White House nitakuwa na mwelekeo juu ya huu mvutano.
 
Muda wote nilifunga mdomo na kutovisumbua vidole vyangu kuchangia huu mgogoro maana wengi walijawa na ushabiki pasipo kuwa na facts na statistic's ila baada ya kikao cha kesho White House nitakuwa na mwelekeo juu ya huu mvutano.
Kama tumewashuhudia akina mesi na Ronaldo kwanini tusishuhudie na ww3???? Walete walete trump, tena vita yenyewe nuclear WAR
 
N korea wanamikwara utazani mgambo wa kiluguru

Niliwadharau tangu walipompa yule mnyoa kiduku nchi
unajua utaratibu wa ushikaji wa madaraka wa hko north korea? kuna utaratibu wa kurithi madaraka na sio uchaguzi.
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Walikuambia ? au in zile za kwenye bao na kahawa. Unawajua wakorea ?wale sio waarabu au waafrika. Nimebahatika kufika pyong yang 2013,wako tayari kuifia nchi yao.sio ss tulip tayari kupokea pakiti ya sauseg nachupa ya wine unauza nchi yako. Watanzania hali yetu in mbaya sana.
 
Walikuambia ? au in zile za kwenye bao na kahawa. Unawajua wakorea ?wale sio waarabu au waafrika. Nimebahatika kufika pyong yang 2013,wako tayari kuifia nchi yao.sio ss tulip tayari kupokea pakiti ya sauseg nachupa ya wine unauza nchi yako. Watanzania hali yetu in mbaya sana.
Hulijui ulisemalo dogo
 
Alichofanyiwa assad juzi kule siria hata mrusi mwenyewe hakutarajia kama yangetokea

Na ndicho kitakachoenda kumtokea huyo dogo. Atapigwa shambulio la kushtukiza kwenye kambi zake zote zitaharibiwa vibaya na hapo ndio ataishiwa nguvu kabisa

Na msijidanganye kuwa china ataingia kumsaidia North korea hilo msahau kabisa. Mchina ni mfanya biashara wa dunia kwa sasa wala hana mda wa vita labda sana sana amuuzie north korea silaha

Na hilo la kumuuzia North korea silaha mmarekani atamshtukia tu mchina na ni lazima atamuwekea vikwazo na china kwa sasa hataki kabisa kujiingiza kwenye mizozo kwa sababu anaelekea kuwa super power kwenye economy hivyo akijiingiza kwenye migogoro atajimaliza mwenewe

Na mkumbuke mchina kuwa amewekeza sana Ndani ya marekani kuliko alivyowekeza kwa North korea hivyo ni lazima mchina asuport sehemu yenye maslahi
China hawezi kamwe kumsaidia NK kivita katika mgogoro huu. US and Chinese government have the mutual commercial and militaries' ties na ndomana wiki Mbili rais wa China na Marekani walikaa pamoja na kujadili usalama wa rasi ya Korea NK akiwa kama ndio tishio la usalama wa ukanda huo na US kuahidi kuisaidia China.
Wengi humu wamejawa na ushabiki na chuki pasipo kufikilia maslahi ya sayari yetu na maisha ya viumbe vijavyo when it comes to nuclear war.
 
Hahahahaha zipigwe tu ili maneno yaishe humu.Ila outcome yake inaweza kuathiri nchi za africa
 
Mimi sio Dogo. Niko imara na fahamu zangu nyingi tuu. Vita in utashi na uzalendo kijana. Vita ya kagera ss tulikua na nn kuliko Idd Amini ?vita ya Viet nam walikua na nn ? Mmarekani alipigwa asubuhi. Nk iko huko huko Am. Alipopata kisago (1972),
Kwa iyo kwa akili zako unafikiri marekani atapigwa na huyu mnyoa kiduku? Be serious.
 
Nakuthibishia km ataleta manowari 10 ,6zitazama.pia huyu hana cha kupoteza. Na kwa kua anazo hizo silaha atazitumia pasipo shaka. Na km zina uwezo wa kufika Am. Zitapelekwa huko huko. Japan na Skorea .watafata.Bomu la kwanza in Us.
 
Back
Top Bottom