Korea Kusini imetoa msaada wa fedha kiasi cha milioni mbili dolla za kimarekani, kwa ajiri ya kulipia gharama za wachezaji wa michezo ya olympic waliotoka Korea Kaskazini.
Chanzo BBC.
Hivi Mike Pence na Trump watafikiriaje swala hii au misaada ya kimichezo haimo kwenye vikwazo?.
Chanzo BBC.
Hivi Mike Pence na Trump watafikiriaje swala hii au misaada ya kimichezo haimo kwenye vikwazo?.