Kuna historia imefichwa kwa atakaetaka source nitampa zipo chache.
1.japan sio nchi ilioathirika zaidi na nyuklia ya marekani bali korea ndio iliathirika zaidi takriban watu milioni 8 waliuliwa na nyuklia hii ambayo ni kama theluthi ya nchi nzima na ardhi iliobakia asilimia 75% ikawa hailimiki. Kwa historia ya dunia iraq, afghanistan, vita ya vietnam zote hizi hazijauwa kama wananchi wa korea walivyouliwa.
2. Baada ya kuuliwa huko kuna watu wengi wakataka kuingia ujamaa lakini marekani akawa hakubaliani na hii mambo hivyo akaua wakorea wengi sana, kuna mauaji ya halaiki watu malaki waliuliwa, kama unadhani mauaji ya ubaguzi wa rangi ya south africa yalikuwa makubwa unahitaji kuangalia mauaji ya halaiki ya korea.
Mateso yote hayo ya nyukilia, ardhi isolimika, njaa, magonjwa nk ndio yalianzisha korea kaskazini, ambayo ni population ya korea iliojitenga na utawala wa kimabavu wa marekani, wakajiunga na china na urusi kutengeneza mataifa ya kijamaa.
South korea wao wakaendelea na marekani wakaukubali ubepari.
Hadi leo marekani analeta propaganda za kila namna ili ionekane korea ni nchi mbaya, na propaganda hizo 99% ni vitu vya uongo,
Nawasilisha, maswali zaidi uliza usiogope
1.japan sio nchi ilioathirika zaidi na nyuklia ya marekani bali korea ndio iliathirika zaidi takriban watu milioni 8 waliuliwa na nyuklia hii ambayo ni kama theluthi ya nchi nzima na ardhi iliobakia asilimia 75% ikawa hailimiki. Kwa historia ya dunia iraq, afghanistan, vita ya vietnam zote hizi hazijauwa kama wananchi wa korea walivyouliwa.
2. Baada ya kuuliwa huko kuna watu wengi wakataka kuingia ujamaa lakini marekani akawa hakubaliani na hii mambo hivyo akaua wakorea wengi sana, kuna mauaji ya halaiki watu malaki waliuliwa, kama unadhani mauaji ya ubaguzi wa rangi ya south africa yalikuwa makubwa unahitaji kuangalia mauaji ya halaiki ya korea.
Mateso yote hayo ya nyukilia, ardhi isolimika, njaa, magonjwa nk ndio yalianzisha korea kaskazini, ambayo ni population ya korea iliojitenga na utawala wa kimabavu wa marekani, wakajiunga na china na urusi kutengeneza mataifa ya kijamaa.
South korea wao wakaendelea na marekani wakaukubali ubepari.
Hadi leo marekani analeta propaganda za kila namna ili ionekane korea ni nchi mbaya, na propaganda hizo 99% ni vitu vya uongo,
Nawasilisha, maswali zaidi uliza usiogope