robert sendabishaka
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 2,973
- 3,052
hao ndio vidume. ngoja tuone misuli ya USA sasa.
Kim kushindwa kupata alichotaka unakua ni usaliti wa negotiators... This is insane.....!!!Msaliti hayo ndio malipo yake, hata hapa kwetu tuna, dawa ni hiyo tu.
Safi sana Kim Jong Un
Mmmh...sidhani. huu utakua ukatili su mtindo gsni wa uongozi? Huenda ni propaganda tu za wamarekani kuonesha dogo ni shetani.Vyombo vya habari vya Korea Kusini hii leo vimeripoti kwamba Korea Kaskazini imemuua mjumbe wake maalumu kwa ajili ya Marekani Kim Hyok Chol kufuatia kushindwa kwa mkutano wa pili wa kilele kati ya kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un na rais Donald Trump.
Gazeti la Chosun Ilbo limeandika Chol aliyeuandaa mkutano huo wa Hanoi na kumsindikiza Kim kwenye treni yake binafsi ameuawa kwa kupigwa risasi kwa kile kinachotajwa kumsaliti kiongozi huyo wa juu baada ya kufanikiwa kuishawishi Marekani wakati wa majadiliano ya kabla ya mkutano huo wa kilele.
Gazeti hilo lililonukuu chanzo ambacho hakikutambulishwa limesema Chol, aliuawa mwezi Machi, katika uwanja wa ndege wa Mirim pamoja na maafisa wanne waandamizi wa wizara ya mambo ya nje baada ya uchunguzi.
Mkalimani wa Kim kwenye Umoja wa Mataifa naye ametiwa kizuizini baada ya kufanya makosa kwenye mkutano huo wa kilele.
Wewe ndezi huwezijua kitu, hizo nchi ukijichanganya Kama mfanyavyo haha ni kupewa safari ya jumla, hakuna ukuwadi huko, ukuwadi fanyeni hapa bongoKim kushindwa kupata alichotaka unakua ni usaliti wa negotiators... This is insane.....!!!
Do you think supporting evil will make you look smart.....!!?Wewe ndezi huwezijua kitu, hizo nchi ukijichanganya Kama mfanyavyo haha ni kupewa safari ya jumla, hakuna ukuwadi huko, ukuwadi fanyeni hapa bongo
Jichangenyeni tu, ni mwendo wa kupitiwa Kama mwewe anavyopitia kifaranga cha kuku, mnatuchelewesha mnoDo you think supporting evil will make you look smart.....!!?
Matango pora ya vibaraka wa mabeberuPropaganda hizo, NK yupo bize kurutubisha kombora zake hana time na SK vibaraka wa Marekani.
Ufyatukaji wa kuongelea haki na demokrasia ni janga .Hao jamaa ni ndugu na wachina
Kuuwa Kwao sio tatizo
Ndio maana nawaogopa sana Wachina, hawaheshimu uhai, demokrasia wa utu wa mwanadamu
AmeshajitokezaJamaa kauliwa wewe.. Kama yupo ajitokeze kama ilivyokuwa zamani basi. Kajificha kwanini?
Weka link tusomeAmeshajitokeza
BBC::Kim Yong-chol: 'Purged' N Korean diplomat appears with Kim Jong-unWeka link tusome
hawasumbukagi kujibu. Wenyewe huwa ni kimya tu.Sasa hizo taarifa mbona hiyo serikali ya kidikteta haizikanushi?? Inaweza kuwa ukweli make hiyo serikali ina tabia ya kuua watu hovyo tu.
kama tundu lissu anavyotusaliti kwa wazungu wakeMsaliti hayo ndio malipo yake, hata hapa kwetu tuna, dawa ni hiyo tu.
Safi sana Kim Jong Un