Korea Kaskazini yakata mawasiliano na Marekani.

Ghazwat

JF-Expert Member
Oct 4, 2015
23,718
66,261
8a3733bedccdb165f3284dabc2e31182.jpg

Maafisa wa runinga inayothibitiwa na serikali ya Korea Kaskazini wamesema kuwa serikali ya nchi hiyo itakata mawasiliano na Marekani.

Korea Kaskazini inasema kuwa utawala wa Washington tayari umefahamishwa sababu ya hatua hiyo.

Aidha Korea imesema kuwa maswala ambayo bado yabajadiliwa ikiwa pamoja na kukamatwa kwa wamarekani wawili sasa yatajadiliwa chini ya sheria kali za kivita.

Korea Kaskazini inasema hatua hiyo imefikiwa katika kile kinachotajwa sheria za kivita

Shirika hilo la serikali aidha linasema kuwa imeafikia hatua hiyo baada ya marekani kumuorodhesha rais wa nchi hiyo Kim Jong-un katika orodha ya wale waliopigwa marufuku kutokana na rekodi mbaya ya ukiukwaji wa haki za binadamu.

Wakati huo huo Korea imeapa kudungua manuari yeyote ya kivita itakayolenga roketi zake za masafa marefu.

Marekani na Korea kusini zimetangaza mipango ya kuweka mfumo wa ulinzi wa Terminal High Altitude Area Defense (THAAD) unaolenga kudungua makombora ya masafa marefu ya Korea Kaskazini.

Korea Kaskazini imeonya kuwa hilo ni dhihirisho la mataifa hayo kuichokoza na hivyo kutangaza vita dhidi yao.

Hata hivyo haijajulikana marekani na Korea Kaskazini zitaweka wapi mtambo huo wa ulinzi wa kisasa na yupi kati ya washirika hao wawili watauendesha mtambo huo wenye uwezo mkubwa wa ulinzi dhidi ya makombora.

Chanzo : BBC
 
Hata hivyo haijulikaniki marekani na Korea ya kaskazini zitaweka wapi mtambo huo.............. Sijaelewa, how come wsshirikiane wakati ni maadai# kabaash
 
8a3733bedccdb165f3284dabc2e31182.jpg

Maafisa wa runinga inayothibitiwa na serikali ya Korea Kaskazini wamesema kuwa serikali ya nchi hiyo itakata mawasiliano na Marekani.

Korea Kaskazini inasema kuwa utawala wa Washington tayari umefahamishwa sababu ya hatua hiyo.

Aidha Korea imesema kuwa maswala ambayo bado yabajadiliwa ikiwa pamoja na kukamatwa kwa wamarekani wawili sasa yatajadiliwa chini ya sheria kali za kivita.

Korea Kaskazini inasema hatua hiyo imefikiwa katika kile kinachotajwa sheria za kivita

Shirika hilo la serikali aidha linasema kuwa imeafikia hatua hiyo baada ya marekani kumuorodhesha rais wa nchi hiyo Kim Jong-un katika orodha ya wale waliopigwa marufuku kutokana na rekodi mbaya ya ukiukwaji wa haki za binadamu.

Wakati huo huo Korea imeapa kudungua manuari yeyote ya kivita itakayolenga roketi zake za masafa marefu.

Marekani na Korea kusini zimetangaza mipango ya kuweka mfumo wa ulinzi wa Terminal High Altitude Area Defense (THAAD) unaolenga kudungua makombora ya masafa marefu ya Korea Kaskazini.

Korea Kaskazini imeonya kuwa hilo ni dhihirisho la mataifa hayo kuichokoza na hivyo kutangaza vita dhidi yao.

Hata hivyo haijajulikana marekani na Korea Kaskazini zitaweka wapi mtambo huo wa ulinzi wa kisasa na yupi kati ya washirika hao wawili watauendesha mtambo huo wenye uwezo mkubwa wa ulinzi dhidi ya makombora.

Chanzo : BBC
Kwanini ni hawa jamaa wana nini
 
Hata hivyo haijulikaniki marekani na Korea ya kaskazini zitaweka wapi mtambo huo.............. Sijaelewa, how come wsshirikiane wakati ni maadai# kabaash
Ushirikiano hapo ni marekani na Korea kusini dhidi ya Korea Kaskazini mkuu
 
No one really cares.

They could go jump in the river and the good 'ol USA couldn't care less!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom