Korea Kaskazini yaanzisha mafunzo ya Kijeshi kwa watoto wadogo

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,287
Korea Kaskazini yaanzisha mafunzo ya Kijeshi kwa watoto nchini humo kuwaandaa na mapambano dhidi ya “ukoloni wa Marekani” na kumlinda Rais wao mpendwa, Kim Jong-un.

Mwalimu katika shule hiyo ya Kijeshi amesema, “Watoto wetu wanajua kuwa Rais Kim Sung wa pili na jenerali Kim Jong wa pili ni baba zao na katika shule hii wanajifunza kwa bidii kama wanavyotaka. Hiki ni Chuo cha hali ya juu kabisa kinachoandaa Jeshi la Korea.”

“Tunasoma kwa bidii kwa sababu tunajua hivyo ndio tutakavyoweka kulipa kisasi dhidi ya ukoloni wa Marekani. Ninasoma kwa bidii nipate ufaulu wa juu kwenye masomo ya Kijeshi kama vile mbinu za kivita na kulenga shabaha,” ni kauli ya mmoja ya wanafunzi vijana katika chuo hicho.
upload_2017-6-13_16-17-58.jpeg


upload_2017-6-13_16-18-14.jpeg


upload_2017-6-13_16-18-38.jpeg

upload_2017-6-13_16-18-59.jpeg
 
Back
Top Bottom