Korea Kaskazini watishia kuzifuta katika ramani ya dunia Japan na Korea Kusini

N
huu uzi ni vichekeshoo tupuu. Sasa km yeye huyo kabufu anaweza sii aanze kuipiga Washington DC, tuone huo ubabe wake,

Anadhani kutest hivyo vinyukilia vyake bas watu wanaogopa, wana mzoom tyuuh kwanza washampuuza, nchini kwake njaa tupu hana hata analolijua.

Watu humu mnashangilia oooh bora western wapigwe kisa ushoga, mbna ndo huwa mnakimbilia huko kwa mashoga kutafuta fursa, na kuomba misaada na mikopooo? Si muende kwa hao malijari mnakwama wapiiiii???

mmevurugwaa, maumivu yapo sanaa, ndo kwanzaa yanaanza hivyo.
Acha zako wewe marekani hawatuwezi hata sisi Wa Tz tupo gado.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yoyote tu watakayoona inafaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia ya sasa sio ya kufanya uvamizi pasipo kuwa na sound reasons za kuziaminisha taasisi za ulinzi na usalama kuepuka kutengwa hata kugeukwa na majirani. Kinachotokea Ukraine, Urusi hakuwa na jinsi dhidi ya uchokozi wa West wa kihistoria juu yake. Wengi wanaiongelea sana hii vita juu juu bila kujua kuwa ulikuwa ni mpango madhubuti wa NATO kumuingiza Urusi kwenye vita vya muda mrefu bila ya ushirika wa wao wa moja kwa moja.
Akishadhoufika Urusi, mikakati itahamia upande wa Asia Mashariki haijarishi lini hili litatokea
 
huu uzi ni vichekeshoo tupuu. Sasa km yeye huyo kabufu anaweza sii aanze kuipiga Washington DC, tuone huo ubabe wake,

Anadhani kutest hivyo vinyukilia vyake bas watu wanaogopa, wana mzoom tyuuh kwanza washampuuza, nchini kwake njaa tupu hana hata analolijua.

Watu humu mnashangilia oooh bora western wapigwe kisa ushoga, mbna ndo huwa mnakimbilia huko kwa mashoga kutafuta fursa, na kuomba misaada na mikopooo? Si muende kwa hao malijari mnakwama wapiiiii???

mmevurugwaa, maumivu yapo sanaa, ndo kwanzaa yanaanza hivyo.
Japo una hoja ya msingi kuhusu watu kukimbilia western countries, Ila swala l ushoga ni la kupigwa vita kwa nguvu zote.
Achana na hiyo tabia, Acha kabisa
 
Katika dunia hii kuna watu wajinga saana na wapumbavu hasa sisi watu weusi
Nafikiri hatujaumbwa na Mungu wa mbinguni tutakuwa tuna toka kwa shetani ambaye hajui njema na baya
Yaani una kuta mtu anaomba vita eti wapigane tuone hivi jiulize tu hawa magwiji wa ulimwengu huu wakiingia vitani sisi vipanya tutaishi vipi
Maana kuna vitu vingi tu tunategemea kutoka kwao
Wewe kipanya utaishi vipi
Mfano tu mdogo operesheni tu hii ya Urusi kwa ukrain na imefanya maisha kupanda bei sasa jiulize wakianza kupigana wewe utaishi vipi
 
huu uzi ni vichekeshoo tupuu. Sasa km yeye huyo kabufu anaweza sii aanze kuipiga Washington DC, tuone huo ubabe wake,

Anadhani kutest hivyo vinyukilia vyake bas watu wanaogopa, wana mzoom tyuuh kwanza washampuuza, nchini kwake njaa tupu hana hata analolijua.

Watu humu mnashangilia oooh bora western wapigwe kisa ushoga, mbna ndo huwa mnakimbilia huko kwa mashoga kutafuta fursa, na kuomba misaada na mikopooo? Si muende kwa hao malijari mnakwama wapiiiii???

mmevurugwaa, maumivu yapo sanaa, ndo kwanzaa yanaanza hivyo.
Unakanyagwa
 
Hahahaa Kipindi nasoma hili bandiko nilijua stori ya kutunga basi nikawa nasoma huku nacheka. Huyu jamaa namkubali sana, yaani wakijaribu tu yeye anakiwasha.
 
Back
Top Bottom