Plan Master
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,189
- 3,727
Acha zako wewe marekani hawatuwezi hata sisi Wa Tz tupo gado.huu uzi ni vichekeshoo tupuu. Sasa km yeye huyo kabufu anaweza sii aanze kuipiga Washington DC, tuone huo ubabe wake,
Anadhani kutest hivyo vinyukilia vyake bas watu wanaogopa, wana mzoom tyuuh kwanza washampuuza, nchini kwake njaa tupu hana hata analolijua.
Watu humu mnashangilia oooh bora western wapigwe kisa ushoga, mbna ndo huwa mnakimbilia huko kwa mashoga kutafuta fursa, na kuomba misaada na mikopooo? Si muende kwa hao malijari mnakwama wapiiiii???
mmevurugwaa, maumivu yapo sanaa, ndo kwanzaa yanaanza hivyo.
Punguza utahiraWalisha muwahi wenzake kabla ajabonyeza kifungo atakuwa amesha lamba vumbi apana chezea cia.
Cia wamesema wanauwezo kumtoa huyo jamaa anatishia kulipua nyukilia ila hawana huwo muda maana wanajuwa atadondoka.
Mjaribu uoneHuo uwezo hana, hiyo ni mikwara tu.
Dunia ya sasa sio ya kufanya uvamizi pasipo kuwa na sound reasons za kuziaminisha taasisi za ulinzi na usalama kuepuka kutengwa hata kugeukwa na majirani. Kinachotokea Ukraine, Urusi hakuwa na jinsi dhidi ya uchokozi wa West wa kihistoria juu yake. Wengi wanaiongelea sana hii vita juu juu bila kujua kuwa ulikuwa ni mpango madhubuti wa NATO kumuingiza Urusi kwenye vita vya muda mrefu bila ya ushirika wa wao wa moja kwa moja.
Japo una hoja ya msingi kuhusu watu kukimbilia western countries, Ila swala l ushoga ni la kupigwa vita kwa nguvu zote.huu uzi ni vichekeshoo tupuu. Sasa km yeye huyo kabufu anaweza sii aanze kuipiga Washington DC, tuone huo ubabe wake,
Anadhani kutest hivyo vinyukilia vyake bas watu wanaogopa, wana mzoom tyuuh kwanza washampuuza, nchini kwake njaa tupu hana hata analolijua.
Watu humu mnashangilia oooh bora western wapigwe kisa ushoga, mbna ndo huwa mnakimbilia huko kwa mashoga kutafuta fursa, na kuomba misaada na mikopooo? Si muende kwa hao malijari mnakwama wapiiiii???
mmevurugwaa, maumivu yapo sanaa, ndo kwanzaa yanaanza hivyo.
Unakanyagwahuu uzi ni vichekeshoo tupuu. Sasa km yeye huyo kabufu anaweza sii aanze kuipiga Washington DC, tuone huo ubabe wake,
Anadhani kutest hivyo vinyukilia vyake bas watu wanaogopa, wana mzoom tyuuh kwanza washampuuza, nchini kwake njaa tupu hana hata analolijua.
Watu humu mnashangilia oooh bora western wapigwe kisa ushoga, mbna ndo huwa mnakimbilia huko kwa mashoga kutafuta fursa, na kuomba misaada na mikopooo? Si muende kwa hao malijari mnakwama wapiiiii???
mmevurugwaa, maumivu yapo sanaa, ndo kwanzaa yanaanza hivyo.
No ujinga wao wa maneno meeengi hadi washenzi wameunda na hakuna kitu watamganya zaidi itakuwa ni hadithi tuu..Anguko la Magharibi.
Kuwa na nukes kunaleta kiburi sana.
Huo uwezo hana, hiyo ni mikwara tu.