Korea Kaskazini watishia kuzifuta katika ramani ya dunia Japan na Korea Kusini

huu uzi ni vichekeshoo tupuu. Sasa km yeye huyo kabufu anaweza sii aanze kuipiga Washington DC, tuone huo ubabe wake,

Anadhani kutest hivyo vinyukilia vyake bas watu wanaogopa, wana mzoom tyuuh kwanza washampuuza, nchini kwake njaa tupu hana hata analolijua.

Watu humu mnashangilia oooh bora western wapigwe kisa ushoga, mbna ndo huwa mnakimbilia huko kwa mashoga kutafuta fursa, na kuomba misaada na mikopooo? Si muende kwa hao malijari mnakwama wapiiiii???

mmevurugwaa, maumivu yapo sanaa, ndo kwanzaa yanaanza hivyo.
 
Sasahivi watu wanapiga mikwara Kila Kona mamaee ni baada ya kugundua Kiongozi wa mashoga Duniani kumbe mwepesi tu.
Leo hii huyo umuitae shoga Kawapa msaada wa mabilioni ya Dola kuzuia uchumi wenyu huo wa kipumbavu husianguke kama wa Sri Lanka .
Sijui kajamba huyu punguani wa Korea kaskazini huwapa msaada upi.
Sielewi.
 
"TUTAANZA KWA KUZIFUTA JAPAN NA KOREA KUSINI KWENYE USO WA DUNIA", Kim Jong Un

Akihutubia Kongamano la Chama cha wafanyakazi Jijini Pyongyang, Kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong Un, Amewatahadharisha NATO na Mkuu wa US wasijaribu kueneza chokochoko Karibu na Jamhuri yake kwa Kufanya Mazoezi na Kusogeza silaha katika Nchi za Japan na south Korea.

"Ndiyo wanafanya Mazoezi, ni Kitisho tu, tena kutoka kwa wajinga na waoga, Sisi tumeshakuwa Tayari miaka 10 ama 15 kabla ya Leo, tuna silaha za kutisha...na mtu yeyote ajaribu"...mwenrndo wao wa uchokozi sasa umefika pabaya, Lakini kama ni kutuvamia Basi wamechelewa, Ma comrades wetu wapo macho na Wataalam wangu wameunda silaha hazijawahi kufikiriwa Ulimwenguni"...

"Wamo KWENYE Mipaka ya Mabepari wenzao, wamo Japan na wanatishia kwa kuleta Mazoezi, Nawaambia Kabla risasi yao moja haijatua kwenye Ardhi ya Jamhuri hii, Japan na Korea zitakuwa zimefutika kwenye USO, tutazifuta kabisa, naam zitafutika ili hao majangili wakose pa kudai wanafanya Mazoezi"...

" Silaha zetu ni za kutisha na bahati njema hazizuiliki na mfumo wowote, na kwa namna ya ubora wake, haitatuchukua dakika 30 kuvifuta kabisa visiwa vya hawa wachokozi"...Na Mimi sitanii, na tena sisemi neno bure, wajaribu"...

Bwana Kim pia aliongelea suala la Covid-19 na kudai kuwa nao ilikuwa ni silaha ya uchokozi kwa watu wa Korea Lakini hatua stahiki na za upesi zimesaidia kukabili ugonjwa huo...

View attachment 2295330
Walisha muwahi wenzake kabla ajabonyeza kifungo atakuwa amesha lamba vumbi apana chezea cia.
Cia wamesema wanauwezo kumtoa huyo jamaa anatishia kulipua nyukilia ila hawana huwo muda maana wanajuwa atadondoka.
 
Leo hii huyo umuitae shoga Kawapa msaada wa mabilioni ya Dola kuzuia uchumi wenyu huo wa kipumbavu husianguke kama wa Sri Lanka .
Sijui kajamba huyu punguani wa Korea kaskazini huwapa msaada upi.
Sielewi.
Misaada ndio inayotufanya tunakuwa wapumbavu. Kiduku kawekewa vikwazo vya kila aina lakini sasahivi mmarekani mwenyewe anamuogopa. It will end up mmarekani kuomba urafiki na kiduku ili kuwe na amani
 
Japan na South Korea wamekuwa mabwege kwa sababu ya kumsikiliza mmarekani. Yaani Japan imekuwa ya kuchimbiwa mikwara na North Korea!? Inasikitisha sana na sasa Europe imeingizwa chaka na marekani na wasipokuja kushtuka mapema Europe haitakuwa tofauti na Africa
Acha urongo wale Wana akili kuliko wewe
 
Walisha muwahi wenzake kabla ajabonyeza kifungo atakuwa amesha lamba vumbi apana chezea cia.
Cia wamesema wanauwezo kumtoa huyo jamaa anatishia kulipua nyukilia ila hawana huwo muda maana wanajuwa atadondoka.
Mmekalilishwa maujinga mengi sana
 
Huyu ye aendeleege na mikwara yake tu ivo ivo. Akijaga kujichanganya kufanya chochote ndo atajua hajui
 
"TUTAANZA KWA KUZIFUTA JAPAN NA KOREA KUSINI KWENYE USO WA DUNIA", Kim Jong Un

Akihutubia Kongamano la Chama cha wafanyakazi Jijini Pyongyang, Kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong Un, Amewatahadharisha NATO na Mkuu wa US wasijaribu kueneza chokochoko Karibu na Jamhuri yake kwa Kufanya Mazoezi na Kusogeza silaha katika Nchi za Japan na south Korea.

"Ndiyo wanafanya Mazoezi, ni Kitisho tu, tena kutoka kwa wajinga na waoga, Sisi tumeshakuwa Tayari miaka 10 ama 15 kabla ya Leo, tuna silaha za kutisha...na mtu yeyote ajaribu"...mwenrndo wao wa uchokozi sasa umefika pabaya, Lakini kama ni kutuvamia Basi wamechelewa, Ma comrades wetu wapo macho na Wataalam wangu wameunda silaha hazijawahi kufikiriwa Ulimwenguni"...

"Wamo KWENYE Mipaka ya Mabepari wenzao, wamo Japan na wanatishia kwa kuleta Mazoezi, Nawaambia Kabla risasi yao moja haijatua kwenye Ardhi ya Jamhuri hii, Japan na Korea zitakuwa zimefutika kwenye USO, tutazifuta kabisa, naam zitafutika ili hao majangili wakose pa kudai wanafanya Mazoezi"...

" Silaha zetu ni za kutisha na bahati njema hazizuiliki na mfumo wowote, na kwa namna ya ubora wake, haitatuchukua dakika 30 kuvifuta kabisa visiwa vya hawa wachokozi"...Na Mimi sitanii, na tena sisemi neno bure, wajaribu"...

Bwana Kim pia aliongelea suala la Covid-19 na kudai kuwa nao ilikuwa ni silaha ya uchokozi kwa watu wa Korea Lakini hatua stahiki na za upesi zimesaidia kukabili ugonjwa huo...

View attachment 2295330
...hapa kiduku ndipo huwa ananichangaya! kishaona Russia anafaidi😄
 
Back
Top Bottom