cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,076
- 136,561
Dunia imeachangamka hadi raha, kuna mataifa yanamwona US kama mtoto aliyejinyea hivi
Dunia imeachangamka hadi raha, kuna mataifa yanamwona US kama mtoto aliyejinyea hivi
Huyo Kim ameshawaambia ana silaha ambazo hazizuiliki na kombora lolote. Kwa hiyo, kama wanataka kutest zali warushe risasi moja Pyongyang!Wanaogopa nn kurusha mawe mbona wanasema wana interception system za uhakika. Ebu waache uoga, warushe tu mawe Pyongyang
Leo hii huyo umuitae shoga Kawapa msaada wa mabilioni ya Dola kuzuia uchumi wenyu huo wa kipumbavu husianguke kama wa Sri Lanka .Sasahivi watu wanapiga mikwara Kila Kona mamaee ni baada ya kugundua Kiongozi wa mashoga Duniani kumbe mwepesi tu.
Walisha muwahi wenzake kabla ajabonyeza kifungo atakuwa amesha lamba vumbi apana chezea cia."TUTAANZA KWA KUZIFUTA JAPAN NA KOREA KUSINI KWENYE USO WA DUNIA", Kim Jong Un
Akihutubia Kongamano la Chama cha wafanyakazi Jijini Pyongyang, Kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong Un, Amewatahadharisha NATO na Mkuu wa US wasijaribu kueneza chokochoko Karibu na Jamhuri yake kwa Kufanya Mazoezi na Kusogeza silaha katika Nchi za Japan na south Korea.
"Ndiyo wanafanya Mazoezi, ni Kitisho tu, tena kutoka kwa wajinga na waoga, Sisi tumeshakuwa Tayari miaka 10 ama 15 kabla ya Leo, tuna silaha za kutisha...na mtu yeyote ajaribu"...mwenrndo wao wa uchokozi sasa umefika pabaya, Lakini kama ni kutuvamia Basi wamechelewa, Ma comrades wetu wapo macho na Wataalam wangu wameunda silaha hazijawahi kufikiriwa Ulimwenguni"...
"Wamo KWENYE Mipaka ya Mabepari wenzao, wamo Japan na wanatishia kwa kuleta Mazoezi, Nawaambia Kabla risasi yao moja haijatua kwenye Ardhi ya Jamhuri hii, Japan na Korea zitakuwa zimefutika kwenye USO, tutazifuta kabisa, naam zitafutika ili hao majangili wakose pa kudai wanafanya Mazoezi"...
" Silaha zetu ni za kutisha na bahati njema hazizuiliki na mfumo wowote, na kwa namna ya ubora wake, haitatuchukua dakika 30 kuvifuta kabisa visiwa vya hawa wachokozi"...Na Mimi sitanii, na tena sisemi neno bure, wajaribu"...
Bwana Kim pia aliongelea suala la Covid-19 na kudai kuwa nao ilikuwa ni silaha ya uchokozi kwa watu wa Korea Lakini hatua stahiki na za upesi zimesaidia kukabili ugonjwa huo...
View attachment 2295330
Itamkwe Mkopo (Loan.)Leo hii huyo umuitae shoga Kawapa msaada wa mabilioni ya Dola kuzuia uchumi wenyu huo wa kipumbavu husianguke kama wa Sri Lanka .
Sijui kajamba huyu punguani wa Korea kaskazini huwapa msaada upi.
Sielewi.
Misaada ndio inayotufanya tunakuwa wapumbavu. Kiduku kawekewa vikwazo vya kila aina lakini sasahivi mmarekani mwenyewe anamuogopa. It will end up mmarekani kuomba urafiki na kiduku ili kuwe na amaniLeo hii huyo umuitae shoga Kawapa msaada wa mabilioni ya Dola kuzuia uchumi wenyu huo wa kipumbavu husianguke kama wa Sri Lanka .
Sijui kajamba huyu punguani wa Korea kaskazini huwapa msaada upi.
Sielewi.
Acha urongo wale Wana akili kuliko weweJapan na South Korea wamekuwa mabwege kwa sababu ya kumsikiliza mmarekani. Yaani Japan imekuwa ya kuchimbiwa mikwara na North Korea!? Inasikitisha sana na sasa Europe imeingizwa chaka na marekani na wasipokuja kushtuka mapema Europe haitakuwa tofauti na Africa
Hizo siraha alimpigia Nani akagundua hazizuiliki jombaaa!!Huyo Kim ameshawaambia ana silaha ambazo hazizuiliki na kombora lolote. Kwa hiyo, kama wanataka kutest zali warushe risasi moja Pyongyang!
Mmekalilishwa maujinga mengi sanaWalisha muwahi wenzake kabla ajabonyeza kifungo atakuwa amesha lamba vumbi apana chezea cia.
Cia wamesema wanauwezo kumtoa huyo jamaa anatishia kulipua nyukilia ila hawana huwo muda maana wanajuwa atadondoka.
Yeye mwenyewe anatumia sababu ni ibada bangiHawa jamaa si ndio nasikia bangi ni halali kwao
Huyo ndio Kim ninayemjua mie...asante sana Kim.
...hapa kiduku ndipo huwa ananichangaya! kishaona Russia anafaidi😄"TUTAANZA KWA KUZIFUTA JAPAN NA KOREA KUSINI KWENYE USO WA DUNIA", Kim Jong Un
Akihutubia Kongamano la Chama cha wafanyakazi Jijini Pyongyang, Kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong Un, Amewatahadharisha NATO na Mkuu wa US wasijaribu kueneza chokochoko Karibu na Jamhuri yake kwa Kufanya Mazoezi na Kusogeza silaha katika Nchi za Japan na south Korea.
"Ndiyo wanafanya Mazoezi, ni Kitisho tu, tena kutoka kwa wajinga na waoga, Sisi tumeshakuwa Tayari miaka 10 ama 15 kabla ya Leo, tuna silaha za kutisha...na mtu yeyote ajaribu"...mwenrndo wao wa uchokozi sasa umefika pabaya, Lakini kama ni kutuvamia Basi wamechelewa, Ma comrades wetu wapo macho na Wataalam wangu wameunda silaha hazijawahi kufikiriwa Ulimwenguni"...
"Wamo KWENYE Mipaka ya Mabepari wenzao, wamo Japan na wanatishia kwa kuleta Mazoezi, Nawaambia Kabla risasi yao moja haijatua kwenye Ardhi ya Jamhuri hii, Japan na Korea zitakuwa zimefutika kwenye USO, tutazifuta kabisa, naam zitafutika ili hao majangili wakose pa kudai wanafanya Mazoezi"...
" Silaha zetu ni za kutisha na bahati njema hazizuiliki na mfumo wowote, na kwa namna ya ubora wake, haitatuchukua dakika 30 kuvifuta kabisa visiwa vya hawa wachokozi"...Na Mimi sitanii, na tena sisemi neno bure, wajaribu"...
Bwana Kim pia aliongelea suala la Covid-19 na kudai kuwa nao ilikuwa ni silaha ya uchokozi kwa watu wa Korea Lakini hatua stahiki na za upesi zimesaidia kukabili ugonjwa huo...
View attachment 2295330