Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,028
- 173,685
Dunia ishakuwa ulimwengu wa Kambale. Mkubwa ndevu mtoto ndevu.Wakati huu Dunia haina super power
Superpower mwenye itikadi za kishoga watu wamemtolea uvivu. Alikuwa anataka kuiharibu dunia kabisa kwa tabia zake za kifedhuli ila kwa sasa wahuni wanaishi nae af safi tu. Wanamkazia kweli kweli yani hana la kufanya.