Korea Kaskazini watishia kuzifuta katika ramani ya dunia Japan na Korea Kusini

"TUTAANZA KWA KUZIFUTA JAPAN NA KOREA KUSINI KWENYE USO WA DUNIA", Kim Jong Un

Akihutubia Kongamano la Chama cha wafanyakazi Jijini Pyongyang, Kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong Un, Amewatahadharisha NATO na Mkuu wa US wasijaribu kueneza chokochoko Karibu na Jamhuri yake kwa Kufanya Mazoezi na Kusogeza silaha katika Nchi za Japan na south Korea.

"Ndiyo wanafanya Mazoezi, ni Kitisho tu, tena kutoka kwa wajinga na waoga, Sisi tumeshakuwa Tayari miaka 10 ama 15 kabla ya Leo, tuna silaha za kutisha...na mtu yeyote ajaribu"...mwenrndo wao wa uchokozi sasa umefika pabaya, Lakini kama ni kutuvamia Basi wamechelewa, Ma comrades wetu wapo macho na Wataalam wangu wameunda silaha hazijawahi kufikiriwa Ulimwenguni"...

"Wamo KWENYE Mipaka ya Mabepari wenzao, wamo Japan na wanatishia kwa kuleta Mazoezi, Nawaambia Kabla risasi yao moja haijatua kwenye Ardhi ya Jamhuri hii, Japan na Korea zitakuwa zimefutika kwenye USO, tutazifuta kabisa, naam zitafutika ili hao majangili wakose pa kudai wanafanya Mazoezi"...

" Silaha zetu ni za kutisha na bahati njema hazizuiliki na mfumo wowote, na kwa namna ya ubora wake, haitatuchukua dakika 30 kuvifuta kabisa visiwa vya hawa wachokozi"...Na Mimi sitanii, na tena sisemi neno bure, wajaribu"...

Bwana Kim pia aliongelea suala la Covid-19 na kudai kuwa nao ilikuwa ni silaha ya uchokozi kwa watu wa Korea Lakini hatua stahiki na za upesi zimesaidia kukabili ugonjwa huo...

View attachment 2295330
Huyu mshenzi inawezekana ndiyo kammaliza babu yangu Shinzo, ila nakuhakikishia hana ubavu huo wa kuzing'oan Japan na Korea Kusini kama anavyotapa hiyo ni ndoto tuu
 
Japan na South Korea wamekuwa mabwege kwa sababu ya kumsikiliza mmarekani. Yaani Japan imekuwa ya kuchimbiwa mikwara na North Korea!? Inasikitisha sana na sasa Europe imeingizwa chaka na marekani na wasipokuja kushtuka mapema Europe haitakuwa tofauti na Africa
Japan wana sera yao kuhusu vita, hawakutaka kuwa na jeshi kubwa baada ya Hiroshima na Nagasaki
 
"TUTAANZA KWA KUZIFUTA JAPAN NA KOREA KUSINI KWENYE USO WA DUNIA", Kim Jong Un

Akihutubia Kongamano la Chama cha wafanyakazi Jijini Pyongyang, Kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong Un, Amewatahadharisha NATO na Mkuu wa US wasijaribu kueneza chokochoko Karibu na Jamhuri yake kwa Kufanya Mazoezi na Kusogeza silaha katika Nchi za Japan na south Korea.

"Ndiyo wanafanya Mazoezi, ni Kitisho tu, tena kutoka kwa wajinga na waoga, Sisi tumeshakuwa Tayari miaka 10 ama 15 kabla ya Leo, tuna silaha za kutisha...na mtu yeyote ajaribu"...mwenrndo wao wa uchokozi sasa umefika pabaya, Lakini kama ni kutuvamia Basi wamechelewa, Ma comrades wetu wapo macho na Wataalam wangu wameunda silaha hazijawahi kufikiriwa Ulimwenguni"...

"Wamo KWENYE Mipaka ya Mabepari wenzao, wamo Japan na wanatishia kwa kuleta Mazoezi, Nawaambia Kabla risasi yao moja haijatua kwenye Ardhi ya Jamhuri hii, Japan na Korea zitakuwa zimefutika kwenye USO, tutazifuta kabisa, naam zitafutika ili hao majangili wakose pa kudai wanafanya Mazoezi"...

" Silaha zetu ni za kutisha na bahati njema hazizuiliki na mfumo wowote, na kwa namna ya ubora wake, haitatuchukua dakika 30 kuvifuta kabisa visiwa vya hawa wachokozi"...Na Mimi sitanii, na tena sisemi neno bure, wajaribu"...

Bwana Kim pia aliongelea suala la Covid-19 na kudai kuwa nao ilikuwa ni silaha ya uchokozi kwa watu wa Korea Lakini hatua stahiki na za upesi zimesaidia kukabili ugonjwa huo...

View attachment 2295330
Hawa jamaa si ndio nasikia bangi ni halali kwao
 
Huyo takataka anajifariji ashukuru anaongoza ng'ombe. Ana impact gani duniani kasambaratishwa Mrusi sembuse hicho kimashavu. Huyo haitaji hata silaha kumsambaratisha ni kuwaingizia tu ng'ombe wake mawazo mapya ya ukombozi wa fikra. Kisha anaundiwa vikundi vya kama alivyofanyiwa Gadaff na Saddam. Utashindana vipi na watu waliokabidhiwa duniani waiongoze.
 
"TUTAANZA KWA KUZIFUTA JAPAN NA KOREA KUSINI KWENYE USO WA DUNIA", Kim Jong Un

Akihutubia Kongamano la Chama cha wafanyakazi Jijini Pyongyang, Kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong Un, Amewatahadharisha NATO na Mkuu wa US wasijaribu kueneza chokochoko Karibu na Jamhuri yake kwa Kufanya Mazoezi na Kusogeza silaha katika Nchi za Japan na south Korea.

"Ndiyo wanafanya Mazoezi, ni Kitisho tu, tena kutoka kwa wajinga na waoga, Sisi tumeshakuwa Tayari miaka 10 ama 15 kabla ya Leo, tuna silaha za kutisha...na mtu yeyote ajaribu"...mwenrndo wao wa uchokozi sasa umefika pabaya, Lakini kama ni kutuvamia Basi wamechelewa, Ma comrades wetu wapo macho na Wataalam wangu wameunda silaha hazijawahi kufikiriwa Ulimwenguni"...

"Wamo KWENYE Mipaka ya Mabepari wenzao, wamo Japan na wanatishia kwa kuleta Mazoezi, Nawaambia Kabla risasi yao moja haijatua kwenye Ardhi ya Jamhuri hii, Japan na Korea zitakuwa zimefutika kwenye USO, tutazifuta kabisa, naam zitafutika ili hao majangili wakose pa kudai wanafanya Mazoezi"...

" Silaha zetu ni za kutisha na bahati njema hazizuiliki na mfumo wowote, na kwa namna ya ubora wake, haitatuchukua dakika 30 kuvifuta kabisa visiwa vya hawa wachokozi"...Na Mimi sitanii, na tena sisemi neno bure, wajaribu"...

Bwana Kim pia aliongelea suala la Covid-19 na kudai kuwa nao ilikuwa ni silaha ya uchokozi kwa watu wa Korea Lakini hatua stahiki na za upesi zimesaidia kukabili ugonjwa huo...
1658215582009.png

  • Chapisho hili ni la tarehe 18 Julai 2022, likionesha Rais Kim Jong-Un akihutubia katika mkutano wa Chama cha Wafanyakazi jijini Pyongyang, hata hivyo, mkutano wa mwisho wa Chama cha Wafanyakazi ambao Rais Kim alihudhuria ulikuwa mkutano wa 8 wa Chama cha Wafanyakazi, mkutano uliofanyika Juni 29, 2022, kwa mujibu wa The Jakarta Post na Korea Times.
  • Rais Kim alihudhuria na kuhutubia maadhimisho ya miaka 69 ya makubaliano yaliyositisha vita vya Korea (Kusini na Kaskazini) vya mwaka 1950-53, maadhimisho yanayojulikana kama Victory Day nchini Korea Kaskazini, kwa mujibu wa Yonhap News Agency, tarehe 28 Julai 2022, siku 10 baada ya chapisho hili.
  • Ingawa Rais Kim alitoa matamshi ya kutishia 'kuifuta Korea Kusini katika ramani ya dunia' ikiwa itaendelea kufanya mazoezi kwa kushirikiana na Marekani, na kuwa nchi yake imejiandaa kikamilifu na ipo tayari kutumia silaha za nyuklia ikiwa kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo, Rais Kim hakutaja vifaa vya kijeshi anavyomiliki wala kutoa kauli kuwa anamiliki 'silaha ambazo hazijawahi kufikiriwa ulimwenguni.'
  • Kabla ya kutoa kauli hiyo ya Julai 28, sera ya mambo ya nje ya Korea Kaskazini wakati wa hotuba ya Juni 29 ilikuwa imeelekezwa kuyatambua maeneo yaliyojitenga ya Luhansk na Donetsk katika mzozo wa Ukraine unaoendelea, ambapo msemaji wa Serikali ya Korea Kaskazini alitoa taarifa siku chache baada ya mkutano wa chama wa Juni 29, akihakikisha kuwepo kwa ushirikiano thabiti kati ya Korea Kaskazini na mataifa yote ya ulimwengu, kwa mujibu wa Korea Times.
  • Picha iliyotumika katika chapisho hili haina uhusiano wowote na hotuba aliyoitoa Rais Kim Juni 29 wala Julai 28. Kwa mujibu wa NBC News, picha hii ilionekana kwa mara ya kwanza mapema mwezi Januari mwaka 2020 wakati Rais Kim alipohudhuria Mkutano Mkuu wa siku 5 wa Kamati Kuu ya Chama cha Wafanyakazi jijini Pyongyang.
TAARIFA ILIYOCHAPISHWA KUWA RAIS KIM JONG-UN ANATAKA KUZIFUTA KOREA KUSINI NA JAPAN KUTOKA KATIKA USO WA DUNIA INAPOTOSHA
 
Huyo takataka anajifariji ashukuru anaongoza ng'ombe. Ana impact gani duniani kasambaratishwa Mrusi sembuse hicho kimashavu. Huyo haitaji hata silaha kumsambaratisha ni kuwaingizia tu ng'ombe wake mawazo mapya ya ukombozi wa fikra. Kisha anaundiwa vikundi vya kama alivyofanyiwa Gadaff na Saddam. Utashindana vipi na watu waliokabidhiwa duniani waiongoze.
Unadhani ni rahisi kufanya hayo uliyoyazungumza dhidi ya Korea ya kaskazini ?🤔
 
Back
Top Bottom