Uzuzu huu wanao ccmSisi hatuna uzuzu.
Uzuzu huu wanao ccmSisi hatuna uzuzu.
Nyingine ni propaganda za mabeberu tu , hv nchi nzima kwa miaka yote hawaonee tu bila wananchi kureact ? wazungu waongo sn , wanajua kupindisha habari , nimeligundua hili kweny mgogoro wa EthiopiaHiyo Nchi imejaa mazuzu yaani wote walishakuwa watumwa wa familia ya kina Kim mapank.
Ukiona raia wapo kimya ujue wameridhika na viongoz wao na hayapo hayo unayo yasema , korea kaskazini ina wasomi wengi sn kuliko nchi yyt ya Africa , au Syria , Iraq au Yemen pia hakuna raia weny msimamo km wakorea , hiz hadith nying zinatungwa na magharib , yupo jamaa ang alienda swedem , wakamuuliza kajifunzia wap kuvaa nguo km zao ? Yaan it seems kwao wanajua waafrika hatujui hata kuvaa kisasa yaan inaoneka yanayooneshwa kule ni yale ya wahadzabeamini mwamba yaani inaonekana Kuna kundi la mageneral uchwara wanailinda Hiyo familia Kwa kua vibaraka Ili Hali wananchi wa kawaida wanateseka,ila wananchi wenyewe mazuzu wa kiwango kikubwa Huo upuuzi wa kiwango hicho ungefanyika nchi mojawapo huku Afrika hao wangekua washafurushwa kitambo Sana maana nchi nyingi za kiafrika Zina masnitch wa kiwango Cha lami wakiona unanyanyasa raia Kwa kiwango Cha Juu wahuni wanatake advantage ya kufanya mapinduzi Ili waungwe mkono na raia!
Sasa huko sijui wanakwama wapi?
bongo hatuna uzuzu wa kiwango hicho japo CCM ndio chama dola ila angalau hakimilikiwi na mtu mmoja mwenye power kuu,nguvu zako na ushawishi utakufanya uwe top leader na utaweza upande juu na kupigwa chini Kwa kura za wajumbe,Huo uzuzu wa wananchi wa north korea una tofauti gani na uzuzu tulionao watz?
MMMMHUsiende mbali sana. Hapa Tanzania kuna watu walikamatwa walipofanya sherehe kipindi cha kifo cha JP. Watu wasifanye sherehe kwasababu kuna msiba, ukikutwa unafanya sherehe unakamatwa