Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Korea Kaskazini imesema tayari imekamilisha uchapishaji wa vipeperushi Milioni 12 vinavyomkejeli Rais wa Korea Kusini Moon Jae-in, baada ya Korea Kusini kusambaza vipeperushi vinavyomkejeli Kim, Korea Kaskazini imesema vipeperushi hivyo vitamwagwa Korea Kusini kutokea juu kwa kutumia parachuti 3000.
•
Vipeperushi hivyo vitamwagwa Korea Kusini kama sehemu ya kisasi baada ya Korea Kusini kusambaza vipeperushi vinavyomkejeli Kim Jong Un, kipeperushi kimoja kinamuonesha Rais wa Korea Kusini akinywa pombe na caption inasomeka ‘Bwana mkubwa huyu amekula vyote hadi makubaliano na Korea Kaskazini ameyala pia’
•
Ugomvi baina ya Nchi hizo mbili umeendelea kushika kasi baada ya Korea Kusini kusambaza vipeperushi hivyo vinavyomkosa Kim hali iliyopelekea Korea Kaskazini kulipua jengo la ushirikiano wa Nchi hizo mbili, kukata mtambo wa mawasiliano na kutishia kuchukua hatua kali za kivita kwa Majirani zao.
•
Vipeperushi hivyo vitamwagwa Korea Kusini kama sehemu ya kisasi baada ya Korea Kusini kusambaza vipeperushi vinavyomkejeli Kim Jong Un, kipeperushi kimoja kinamuonesha Rais wa Korea Kusini akinywa pombe na caption inasomeka ‘Bwana mkubwa huyu amekula vyote hadi makubaliano na Korea Kaskazini ameyala pia’
•
Ugomvi baina ya Nchi hizo mbili umeendelea kushika kasi baada ya Korea Kusini kusambaza vipeperushi hivyo vinavyomkosa Kim hali iliyopelekea Korea Kaskazini kulipua jengo la ushirikiano wa Nchi hizo mbili, kukata mtambo wa mawasiliano na kutishia kuchukua hatua kali za kivita kwa Majirani zao.