Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,813
- 4,545
Mwanaume mmoja raia wa Korea Kaskazini ambae utambulisho wake haujawekwa wazi amehukumiwa kifo kwa kutazama na kusambaza nakala za series maarufu kutoka Netflix 'Squid Game'.
Inasemekana hukumu ya kunyongwa kwake hadi kufa ia tatekelezwa na kikosi maalumu cha kurusha risasi.
Mbali mwanaume huyo watu wengine pia wamehukumiwa kifungo cha maisha jela na kufanya kazi ngumu kwa kutazama shoo hiyo kinyume cha sheria.
Kwa mujibu wa Radio Free Asia iliripoti kwamba 'msafirishaji' huyo alipata nakala ya kipindi hicho nchini China na kuirejesha Korea Kaskazini na kudaiwa kuuza nakala za onyesho hilo kwenye flash.
Squid Game iliyoongozwa na muongozaji Hwang Dong-hyuk, imejizolea umaarufu mkubwa duniani na kuweka rekodi ya kipekee katika mtandao wa Netflix tangu ilipo-onyeshwa kwa mara ya kwanza mwezi Septemba 2021.
Inasemekana hukumu ya kunyongwa kwake hadi kufa ia tatekelezwa na kikosi maalumu cha kurusha risasi.
Mbali mwanaume huyo watu wengine pia wamehukumiwa kifungo cha maisha jela na kufanya kazi ngumu kwa kutazama shoo hiyo kinyume cha sheria.
Kwa mujibu wa Radio Free Asia iliripoti kwamba 'msafirishaji' huyo alipata nakala ya kipindi hicho nchini China na kuirejesha Korea Kaskazini na kudaiwa kuuza nakala za onyesho hilo kwenye flash.
Squid Game iliyoongozwa na muongozaji Hwang Dong-hyuk, imejizolea umaarufu mkubwa duniani na kuweka rekodi ya kipekee katika mtandao wa Netflix tangu ilipo-onyeshwa kwa mara ya kwanza mwezi Septemba 2021.