mtotowamamanjungu
JF-Expert Member
- Oct 13, 2016
- 351
- 273
Noooma kweli..ile dunia ya mwisho
Imefika mwisho wake..
Leo nilikua mitaa ya kawe ukwamani, nikaingia duka moja ivi
mara akatokea teja mmoja akaja mpaka pale dirishani akauli
Oyaa mangi lusekelo ipo?
Muuzaji ...akauliza 'ndio nini?
Teja...leta lusekelo kubwa nikapate upako Mimi.
Muuzaji..ndio nin boss?
Teja..mshamba wewe Lusekelo ndio habari ya mjini
leta konyagi chupa kubwa
AF kesho tusisumbuane..
Uyooo akasepa zake.
Nilitamani kulia
Ikabidi nicheke tu...
Imefika mwisho wake..
Leo nilikua mitaa ya kawe ukwamani, nikaingia duka moja ivi
mara akatokea teja mmoja akaja mpaka pale dirishani akauli
Oyaa mangi lusekelo ipo?
Muuzaji ...akauliza 'ndio nini?
Teja...leta lusekelo kubwa nikapate upako Mimi.
Muuzaji..ndio nin boss?
Teja..mshamba wewe Lusekelo ndio habari ya mjini
leta konyagi chupa kubwa
AF kesho tusisumbuane..
Uyooo akasepa zake.
Nilitamani kulia
Ikabidi nicheke tu...