Griseofulvin
JF-Expert Member
- Sep 15, 2016
- 1,013
- 1,993
Kapicha basi mkuu tuione hiyo Lusekelo....
HahahahaNoooma kweli..ile dunia ya mwisho
Imefika mwisho wake..
Leo nilikua mitaa ya kawe ukwamani, nikaingia duka moja ivi
mara akatokea teja mmoja akaja mpaka pale dirishani akauli
Oyaa mangi lusekelo ipo?
Muuzaji ...akauliza 'ndio nini?
Teja...leta lusekelo kubwa nikapate upako Mimi.
Muuzaji..ndio nin boss?
Teja..mshamba wewe Lusekelo ndio habari ya mjini
leta konyagi chupa kubwa
AF kesho tusisumbuane..
Uyooo akasepa zake.
Nilitamani kulia
Ikabidi nicheke tu...
wewe kweli fikra zako ziko wapi nani anafanya mzaa hapa kwani sisi ndiyo tulimnywesha pombe au kumtuma kutumia kilevi mzaa kaleta mwenyewe huyo mzee wenuKumbukeni watoto wa Nuhu Hamu Shemu na Yafet mambo haya siyo ya kufanyia mzaha pole pole na mtumishi
Noooma kweli..ile dunia ya mwisho
Imefika mwisho wake..
Leo nilikua mitaa ya kawe ukwamani, nikaingia duka moja ivi
mara akatokea teja mmoja akaja mpaka pale dirishani akauli
Oyaa mangi lusekelo ipo?
Muuzaji ...akauliza 'ndio nini?
Teja...leta lusekelo kubwa nikapate upako Mimi.
Muuzaji..ndio nin boss?
Teja..mshamba wewe Lusekelo ndio habari ya mjini
leta konyagi chupa kubwa
AF kesho tusisumbuane..
Uyooo akasepa zake.
Nilitamani kulia
Ikabidi nicheke tu...