Mapensho star JF-Expert Member Jun 30, 2016 3,052 4,075 Dec 18, 2016 #1 Naombeni mnisaidie hata kwa taarifa tu kama naweza kupata konyagi au viroba kwa bei ya jumla huko dar kwa ambaye anafahamu.
Naombeni mnisaidie hata kwa taarifa tu kama naweza kupata konyagi au viroba kwa bei ya jumla huko dar kwa ambaye anafahamu.
saimon111 JF-Expert Member Apr 5, 2012 1,736 1,352 Dec 18, 2016 #2 Konyagi kubwa (bapa) 6000 nenda kwa wauzaji wa jumla
Sinoni JF-Expert Member May 16, 2011 5,530 9,140 Dec 18, 2016 #3 Nenda kwenye maduka ya vinywaji utapata kwa bei nzuri sawa na bure,..