chapaa
JF-Expert Member
- Feb 19, 2008
- 2,351
- 203
napata picha sijui kwa nini watu wa marketing hawawatafuti!!! maana kuna watu ni femasi sana humu na siku wakifanya tangazo...litauza... watu kama kongosho, akitangaza gazeti la udaku atauza saaaaaaaaaaana!! katangaze dada yangu
Akatangaze:shock:!!!