mwali avatar yako ni swafi lakini ningeomba unionyeshe uso wote roho yangu itulie.............acha uchoyo na kutuficha uzuri wake........
Uuh! Nahisi kama umependa me na ke vile !
Anyway endelea kwani upendo hauangalii jinsi,
mwali avatar yako ni swafi lakini ningeomba unionyeshe uso wote roho yangu itulie.............acha uchoyo na kutuficha uzuri wake........
Huyu ni mwanaume haki ya nani nasema.
Lizzy ana jinsia mbili na ni moderator wa jukwaa la MMU.Unajua jinsia zao..?
he he he he
Ziltan wewe acha utundu.
Hujambo lakini?
he he he he
Ziltan wewe acha utundu.
Hujambo lakini?
Wana jf habari zenu natumaini hamjambo .jamani tangu niingie jf nafurahia sana raha ya humu, hata facebook nilishaipiga chini, muda wote niko jf maana napata uptade za maisha ,furaha na mapenzi kila muda . NDUGU zangu wanajf nawapenda wote wana jf lakini nawazimia sana lizzy na kongosho ,nikisoma post zao navuta hisia mpaka napata sura zao, sana sana napenda post zao najinsi walivyo active. Jamani wakuniponda uwanja wenu ila matusi hayaruhusiwa humu,na je munaonaje hizo machine mbili kongosho na lizzy
Nimepitia kamusi ya kiswahili bado sijaona maana tofauti na nayoijua.
Au kuna kamuzi mpya ya 2013 imetoka?
Huyu ni mwanaume haki ya nani nasema.
Samahani Ivuga, mie Mwali nampenda, kwani niaje! Ana tatizo?unggemtaja mwali ungekipata ya moto .bahati yako
mi cjambo,
ila niliku pm nikiwa mguu mmoja nje kwa ajili ya kutoka nduki,
si unajua hapa jamvini mizigo uko kwenye gunia!
huu ni mwaka wa chit chat jf