MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Baada ya kugundua umetukwaza kwa DPP Biswalo Mganga na Kelele kuwa nyingi Mitandaoni hatimaye leo umefanya U - Turn ya maana kwa Kutufurahisha kwa Kumtumbua DC Ole Sabaya.
Na kwa jinsi Watanzania tulivyo Watu wa Bendera fuata upepo na Watu tunaoishi kwa Matukio na Mihemko tayari la Biswalo Mganga tunaenda Kulisahau rasmi na sasa talk of the town ni Kufurahi kwa kilichotokea Ole Sabaya.
Na najua ukiona Watanzania bado hatujaridhika sana ( kivile ) ili kutuhamisha Fikra zetu ( kama kawaida yenu Wanasiasa na Marais ) sasa utamalizia kwa Kutufurahisha kuanzia pale Mkoani Iringa na Mkoani Mbeya.
Na kwa jinsi Watanzania tulivyo Watu wa Bendera fuata upepo na Watu tunaoishi kwa Matukio na Mihemko tayari la Biswalo Mganga tunaenda Kulisahau rasmi na sasa talk of the town ni Kufurahi kwa kilichotokea Ole Sabaya.
Na najua ukiona Watanzania bado hatujaridhika sana ( kivile ) ili kutuhamisha Fikra zetu ( kama kawaida yenu Wanasiasa na Marais ) sasa utamalizia kwa Kutufurahisha kuanzia pale Mkoani Iringa na Mkoani Mbeya.