YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Kongo yaanza kufaidi matunda ya kujiunga jumuiya ya Afrika Mashariki barabara ya lami kujengwa kutoka Uganda hadi Goma kongo baada ya kongo na Uganda kufikia makubaliano.
Wanajeshi wa Serikali ya Kongo (FRDC) watasimamia ujenzi kiulinzi eneo hilo lenye waasi ili kuhakikisha usalama wa ujenzi wake
Source:ITV
Wanajeshi wa Serikali ya Kongo (FRDC) watasimamia ujenzi kiulinzi eneo hilo lenye waasi ili kuhakikisha usalama wa ujenzi wake
Source:ITV