King Suleiman
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 496
- 327
thanks dada wa ukweli, nitakuwepo hapo mapeema kabisa na vijana wangu kadhaa, ila dada yangu mpendwa, siku nyingine msisahau kupeleka hii muv kwa vijana wa mikoani kwenye vyuo na watu wengi kama Dodoma, Mbeya, Mwanza na arusha, huko vijana wana mwamko mkubwa sana, BG UP CHADEMA msiwaige viwavi jeshi wa ccm UVCCM kwa matusi na kejeli zao