Dunia yakoo
Senior Member
- Nov 23, 2019
- 139
- 214
- Thread starter
- #61
Sema wewe....lakini watanzania wameamua nyie mi ccm hatuwataki.,..mtuache wazalendo tufanye yetu.Tutaipambania online ila off-line watapambana wana usalama
Sema wewe....lakini watanzania wameamua nyie mi ccm hatuwataki.,..mtuache wazalendo tufanye yetu.Tutaipambania online ila off-line watapambana wana usalama
Jamani, tuchapeni kazi!
Kwenye siasa akuna rafiki ama adui wakudumu.Tatizo, Lipumba haaminiki tena....!!
Tunataka waboreshe katiba yao kwanza ndo waje ya Taifa. MFANO ya CHADEMA ni ya kidikteta au mnataka katiba iwe kama ya CHADEMA @@@@@😄😄😄😄UKAWA
Watanzania wameamua, wache wafanye yao.Tunataka waboreshe katiba yao kwanza ndo waje ya Taifa. MFANO ya CHADEMA ni ya kidikteta au mnataka katiba iwe kama ya CHADEMA @@@@@😄😄😄
Usikalili maishaHebu tulieni tuijenge nchi...siasa 2025 na mtatandikwa tena kwa kishindo.
Usikalili ndio nini tena Mkuu?U
Usikalili maisha
Nyie wahamiaji haramu tumewachokaJamani, tuchapeni kazi!
Hatuwezi kuona dhurma ndani ya nchi tukakaa kimyaHahaha, kafu naona mnamchezea Simba Sharubu[emoji3
Mtuache wazalendo tufanye yetu.Nyie wahamiaji haramu tumewachoka
Mnaleta harakati za pimbiUzinduzi wa Kongamano la kuanzisha mchakato wa kudai katiba mpya litafanyika tar 20/12/2020
Au umezoea harakati zako ndyo unafananisha naza wengine.Mnaleta harakati za pimbi
JF na wewe munanipa furaha sana kusoma comment kama hiziSiku hiyo mtakamatwa wote, dikteta hataki katiba mpya maana itamg'oa
Kungekuwa na kongamano la kushinikiza kutekelezwa kwa katiba tuliyonayo sawa ila kushinikiza katiba mpya huku hii inavurugwa kila leo ni nonsense
Asante sana nduguMkuu nimekupa Like
Ingawa watu weeeeengi hawaelewi uneandika nini.....like tenaa!
Mbona wahamiaji unaowasema washarudi Belgium ile kitambo?Nyie wahamiaji haramu tumewachoka
Njoo ulimwengu uko hukuMAZINGIRA yako wapi ya kuchapa kazi