Napenda kuwakumbusha kuwa kutakuwa na kongamano la Uhuru leo pale ukumbi maarufu wa Nkrumah UDSM kuanzia saa saba na nusu. Tutazungumzia rasilimali zetu zinavyoweza kutumika vizuri kwa manufaa ya Watanzania. Karibuni sana. Kama hutaweza kufika basi fuatilia live ITV na Radio One:
Mbali na wasomi waliobobea pia wazungumzaji wengine watakuwa Dr Reginald Mengi, Mnyika na wawakilishi wa vyama vya siasa. Tutawaleta live JF
Mbali na wasomi waliobobea pia wazungumzaji wengine watakuwa Dr Reginald Mengi, Mnyika na wawakilishi wa vyama vya siasa. Tutawaleta live JF