Kongamano la Sanaa la Mwalimu: Rais Magufuli apiga simu mbashara na kutoa pongezi, achangia Shilingi Milioni 100

Ili sio Kongamano la Mwalimu Nyerere... Ebu acheni kunajisi jina na heshima ya Baba wa Taifa
 
Akizungumza katika kongamano hilo, Makonda amesema mkoa huo uliomba ridhaa ya Bunge kwamba wasanii wapewe mikopo isiyo na riba kupitia fedha za manispaa lengo ni kuwawezesha kuendesha shughuli zao


Madakitari na wataalamu wengine wanakopeshwa na Bodi ya Mikopo na kulipa deni kwa riba kubwa sana isiyolipika, leo watoa burudani wakopeshwe bila riba, ama kweli Tanzania yangu inaungua kwa joto la mwezi badala ya jua
 
Back
Top Bottom