Pale Chuo Kikuu Mlimani (UDSM) Kunaendelea Kongamano la Mwalimu Nyerere, nawaona vingunge akiwamo Mkapa, Waryoba na wenzao pale pamoja na wageni mashuhuri. Kinachokera ni matumizi ya lugha ya kiingereza badala ya kutumia lugha yetu ya Taifa.
Wangeweza kabisa kuachana na ukoloni kwa kutumia vifaa vya kutafsiri ili wageni ndio wasikilize kwa kiingereza na lugha yetu itumiwe na wote watakaotoa mada.
Ukoloni, ukoloni tu.
Wangeweza kabisa kuachana na ukoloni kwa kutumia vifaa vya kutafsiri ili wageni ndio wasikilize kwa kiingereza na lugha yetu itumiwe na wote watakaotoa mada.
Ukoloni, ukoloni tu.