segwanga
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 2,789
- 729
Great thinkers heshima kwenu,
Kongamano limeshaanza sasa hivi mwenyekiti mh Ben Mkapa ndo anatoa hotuba ya ufunguzi na anamfagilia J.KN kuwa alikuwa akipinga udhalimu,uonevu na unyonyaji.
Anaendelea kusema kumbukumbu za waasisi wa taifa hili lazma zitunzwa na anaipongeza serikali kwa kulifanyia kazi suala hili.
Amemaliza,amefungua kongamano
Kongamano limeshaanza sasa hivi mwenyekiti mh Ben Mkapa ndo anatoa hotuba ya ufunguzi na anamfagilia J.KN kuwa alikuwa akipinga udhalimu,uonevu na unyonyaji.
Anaendelea kusema kumbukumbu za waasisi wa taifa hili lazma zitunzwa na anaipongeza serikali kwa kulifanyia kazi suala hili.
Amemaliza,amefungua kongamano