Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,563
- 217,866
Awali kulitokea taarifa kwamba Polisi wamezingira ofisi za kanda , lakini baadaye taarifa hiyo ilikanushwa , hivyo kongamano hilo liliendelea kama ilivyopangwa na kuhudhuriwa na wakina mama wengi mno !
CHADEMA NA WANANCHI , CCM NA POLISI
CHADEMA NA WANANCHI , CCM NA POLISI