pepsin JF-Expert Member Apr 23, 2015 3,465 6,109 Oct 15, 2017 #1 BAVICHA wamefanya jambo la kunoa bongo zao kwa kufanya kongamano kwenye maadhimisho ya Nyerere Day. Kwa kweli sijui wenzao UVCCM walikuwa wapi jana ila nahisi walienda kuzima mwenge wa uhuru kule ng'ambo. My take: Hongereni Bavicha
BAVICHA wamefanya jambo la kunoa bongo zao kwa kufanya kongamano kwenye maadhimisho ya Nyerere Day. Kwa kweli sijui wenzao UVCCM walikuwa wapi jana ila nahisi walienda kuzima mwenge wa uhuru kule ng'ambo. My take: Hongereni Bavicha
Magonjwa Mtambuka JF-Expert Member Aug 2, 2016 29,535 25,833 Oct 15, 2017 #2 Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu.
Cowman JF-Expert Member Feb 5, 2013 1,710 3,145 Oct 15, 2017 #3 Nyerere day imekua siku huzuni kwangu, jana mikeka yangu ilichanika yote. Kweli ilikua siku ya maombolezo.!
Nyerere day imekua siku huzuni kwangu, jana mikeka yangu ilichanika yote. Kweli ilikua siku ya maombolezo.!
K Kanyinya JF-Expert Member Jul 31, 2017 661 665 Oct 15, 2017 #4 Tundu Lissu " Nyerere hakuwa Mtakatifu"
Erythrocyte JF-Expert Member Nov 6, 2012 117,348 217,388 Oct 15, 2017 #5 Mungu ibariki Bavicha , Taasisi pekee ya vijana inayotamba eneo la maziwa makuu .