johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
- Thread starter
- #101
Mufti mtarajiwa!Hapo sawa,Sheikh mwenye mkoa wake
Mufti mtarajiwa!Hapo sawa,Sheikh mwenye mkoa wake
Pamoja na uzee wake, kawazidi vijana wengi kuitambua AMANI iliyopo hapa Tanzania"Ukitaka kuwaudhi CCM we ongelea HAKI. Wao wanataka AMANI tu. HAKI wao haiwahusu.
TBC nao watarusha? Huu mchepuko wa Magufuli anaotembea nao kwapani. Basi maudhui ya kongamano yameshajulikana. Ni habari ya AMANI tu bila HAKI kuzungumzwa. Huo ni uzwazwa. AMANI ni tunda la HAKI. Bila HAKI hakuna AMANI. Hivyo kusikiliza hili kongamano njaa ni kukubali kupoteza muda.
Mchawi tu, mnafiki na mzandikiIna maana Kakobe nae hivi sasa keshaunga mkono juhudi?! Au baada ya maombi yake wakati ule kushindwa kuzuia umeme ku-flow, akaamua kutumia msemo wa "If you can't fight them, join them"?!
Nimemdharau sanaHivi malasusa yupo...hahahaha...eti viongozi wa dini...takataka
Yaani hawa the called viongozi wetu wa dini hawa, yaani basi tu!!Mchawi tu, mnafiki na mzandiki
Yaani TBC imeharibika kabisa,Rioba upo?Ulikua unakwenda vizuri nani kakuloga,au na wwwe umewasaliti Watanzania?Baada ya Magu kufa sasa mmeamua ku-host vijumbe wa Shetani.Aibu sana.Hawa wamelipwa ili kupigia chapua mpango wa Ibilisi wa kuwaua wanadamu,asiyejua ni mjinga tu.Kongamano kubwa la amani na maendeleo linafanyika leo katika ukumbi wa Golden Tulip jijini Dsm.
Mwezeshaji wa kongamano hilo ni askofu Gamanywa wa BCIC na wanenaji watakakuwa askofu Kakobe askofu Dr Malasusa na shehe Abdallah.
Kongamano hilo litarushwa mubashara na runinga za TBC, Channel ten na radio ya WAPO kuanzia saa 2:30 asubuhi.
Wote mnakaribishwa.
Source Shallom tv
Up dates;
Mwezeshaji wa kongamano askofu Gamanywa ameshafungua mjadala na sasa mwakilishi wa Katibu mkuu wa TEC Dr Kitima ambaye alikuwa atoe mada, ndio anazungumza.
Askofu Kakobe anasema uchaguzi huu Polisi wamekuwa soft sana kiasi cha kusukumwa na kukaa kimya hivyo amewasihi polisi kuangalia viashiria vya uvunjifu wa amani na kuchukua tahadhari.
Shekh Alhad Salum anasema Waislamu na Wakristo ni kitu kimoja na mama yake Yesu yaani Mariam ana sura yake kamili katika kitabu kitakatifu cha Quran inaitwa Surat Mariam
Askofu Malasusa amepingana na askofu Kakobe na amesema polisi hawako soft bali wanatumia hekima ili kuleta amani kwa watu wote
Maendeleo hayana vyama!