Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,798
- 156,930
Emewatoa nyoka wengi pangoniNaona Upepo wa Shehe Ponda huo
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Emewatoa nyoka wengi pangoniNaona Upepo wa Shehe Ponda huo
This is NEVER MISSKongamano kubwa la amani na maendeleo linafanyika leo katika ukumbi wa Golden Tulip jijini Dsm.
Mwezeshaji wa kongamano hilo ni askofu Gamanywa wa BCIC na wanenaji watakakuwa askofu Kakobe askofu Dr Malasusa na shehe Abdallah.
Kongamano hilo litarushwa mubashara na runinga za TBC, Channel ten na radio ya WAPO kuanzia saa 2:30 asubuhi.
Wote mnakaribishwa.
Source Shallom tv
Maendeleo hayana vyama!
Maaskofu wahuni, vibaraka, watetea uovuKongamano kubwa la amani na maendeleo linafanyika leo katika ukumbi wa Golden Tulip jijini Dsm.
Mwezeshaji wa kongamano hilo ni askofu Gamanywa wa BCIC na wanenaji watakakuwa askofu Kakobe askofu Dr Malasusa na shehe Abdallah.
Kongamano hilo litarushwa mubashara na runinga za TBC, Channel ten na radio ya WAPO kuanzia saa 2:30 asubuhi.
Wote mnakaribishwa.
Source Shallom tv
Maendeleo hayana vyama!
Mawakala wanazuiaje ushindi?Lisu hata mawakala hana atashindaje?
Kongamano kubwa la amani na maendeleo linafanyika leo katika ukumbi wa Golden Tulip jijini Dsm.
Mwezeshaji wa kongamano hilo ni askofu Gamanywa wa BCIC na wanenaji watakakuwa askofu Kakobe askofu Dr Malasusa na shehe Abdallah.
Kongamano hilo litarushwa mubashara na runinga za TBC, Channel ten na radio ya WAPO kuanzia saa 2:30 asubuhi.
Wote mnakaribishwa.
Source Shallom tv
Maendeleo hayana vyama!
I hope na yule M/Kiti wa amani Ndg. Sio Sheikh namwita Ndg. Al-Hadi Mussa atakuwepo ili kuzidi kutupa nguvu na sababu za kuipumzisha CCM na BAKWATA yake ... tafadhalj mwambieni asisahau ile dua yake ya dini msetoKongamano kubwa la amani na maendeleo linafanyika leo katika ukumbi wa Golden Tulip jijini Dsm.
Mwezeshaji wa kongamano hilo ni askofu Gamanywa wa BCIC na wanenaji watakakuwa askofu Kakobe askofu Dr Malasusa na shehe Abdallah.
Kongamano hilo litarushwa mubashara na runinga za TBC, Channel ten na radio ya WAPO kuanzia saa 2:30 asubuhi.
Wote mnakaribishwa.
Source Shallom tv
Maendeleo hayana vyama!
Wameshaanza ule wazimu wao tena.Kongamano kubwa la amani na maendeleo linafanyika leo katika ukumbi wa Golden Tulip jijini Dsm.
Mwezeshaji wa kongamano hilo ni askofu Gamanywa wa BCIC na wanenaji watakakuwa askofu Kakobe askofu Dr Malasusa na shehe Abdallah.
Kongamano hilo litarushwa mubashara na runinga za TBC, Channel ten na radio ya WAPO kuanzia saa 2:30 asubuhi.
Wote mnakaribishwa.
Source Shallom tv
Maendeleo hayana vyama!
Lakini kweli ndugu unavyo sema....maana kila niki fosi kichwani ...ngoma inasema magu mshindiHiv bro...nikuulize kitu...kwa kunongoneza lakini
"Hiv kabisa unahis lissu atashinda"???...kwa akil yako timamu kabisa yan...ukikaa kama mtu mzima na ukafkiria. Kweli lissu atashinda mkuu?...heb tuambizane ukwel.....usiongee kwa saut kubwa lakin...mdogomdogo
Hilo ni kongamano la wafanyabiashara wa dini. Hakuna mtumishi kweli wa Mungu hapo.Kongamano kubwa la amani na maendeleo linafanyika leo katika ukumbi wa Golden Tulip jijini Dsm.
Mwezeshaji wa kongamano hilo ni askofu Gamanywa wa BCIC na wanenaji watakakuwa askofu Kakobe askofu Dr Malasusa na shehe Abdallah.
Kongamano hilo litarushwa mubashara na runinga za TBC, Channel ten na radio ya WAPO kuanzia saa 2:30 asubuhi.
Wote mnakaribishwa.
Source Shallom tv
Maendeleo hayana vyama!
100%ukishaona TBC na CHANNEL TEN wapo.
Hilo kongamano ni CCM oriented
Chadema wako na shehe Ponda!100%
Hakuna kitu hapo! Mbona Nabii Josephat Mwingira hawakumkaribisha? ili hiyo "debate" iwe na afya?Kongamano kubwa la amani na maendeleo linafanyika leo katika ukumbi wa Golden Tulip jijini Dsm.
Mwezeshaji wa kongamano hilo ni askofu Gamanywa wa BCIC na wanenaji watakakuwa askofu Kakobe askofu Dr Malasusa na shehe Abdallah.
Kongamano hilo litarushwa mubashara na runinga za TBC, Channel ten na radio ya WAPO kuanzia saa 2:30 asubuhi.
Wote mnakaribishwa.
Source Shallom tv
Maendeleo hayana vyama!
Akileta ule uwazi wa kura za maoni CcM, imekula kwake!!Wekeni konyagi tuje na Mbowe ila Msipoiba mjue hamtoboi.
Msije mkamdanganya mzee akaacha kuiba
Kila MTU amsikilize anaemtaka. Sie na Ponda.Wewe endelea kumsikiliza Ponda!
Uchafu najisiKongamano kubwa la amani na maendeleo linafanyika leo katika ukumbi wa Golden Tulip jijini Dsm.
Mwezeshaji wa kongamano hilo ni askofu Gamanywa wa BCIC na wanenaji watakakuwa askofu Kakobe askofu Dr Malasusa na shehe Abdallah.
Kongamano hilo litarushwa mubashara na runinga za TBC, Channel ten na radio ya WAPO kuanzia saa 2:30 asubuhi.
Wote mnakaribishwa.
Source Shallom tv
Maendeleo hayana vyama!
Kongamano la amani bila haki halisaidii nchi.Kongamano kubwa la amani na maendeleo linafanyika leo katika ukumbi wa Golden Tulip jijini Dsm.
Mwezeshaji wa kongamano hilo ni askofu Gamanywa wa BCIC na wanenaji watakakuwa askofu Kakobe askofu Dr Malasusa na shehe Abdallah.
Kongamano hilo litarushwa mubashara na runinga za TBC, Channel ten na radio ya WAPO kuanzia saa 2:30 asubuhi.
Wote mnakaribishwa.
Source Shallom tv
Maendeleo hayana vyama!