Haya leo tena kutakuwa na kongamano la kitaifa mjini tanga viwanja vya TANGAMANO KUANZIA SAA MBILI ASUBUHI HADI SAA SITA. Mada athari za mfumo kiristo TZ, HARAKATI ZA UHURU TZ, katiba mpya nk. Masheikh wote maarufu watakuwepo, PIA LITARUSHWA LIVE KUPITIA RADIO IMAAN ambayo inasikika nchi nzima. Nyote mwakaribishwa tuwe pamoja kupambana na mfumo huu wa kibaguzi tz hadi tuutokomeze.