Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,215
- 7,382
Mbadala wa kondom Ni nn?
Mkuu ni vita vya Ukraine na Urusi ndiyo sababuNakumbuka hizi condom zilikuwa zimetapakaa kote katika sehemu za wazi kla mtu anachukua bure. Sasa hivi ni "almas" maana hazipatikani na zikipatikana ni bei kubwa -- a pack of 3 per 1,000
Kulikoni? Au kwa Msaada wa watu wa Marekani ilisitishwa? na kama ni hivyo kwanini walisitisha?