Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,352
- 3,532
Mamboz!
Nimepata stori kutoka kwa jamaa zangu wawili tofauti kwa muda tofauti.
Mmoja anasema Girl Friend wake analalamika kua kondom inamsababishia kuwashwa sehem za siri.
Wa pili anasema Girl Friend wake anaumia watumiapo kondom.
Haya mambo huenda yakawa yanatokea kwa wengine na kwa kweli kama yakikutokea umeshakolea matokeo ni kufanya unsafe sex.
Je kwa namna hii kweli kondoms inakidhi kweli lengo lake la kuzuia maambukizi kwa population ye2 kubwa ya ki-tz dhidi ya maambukizi ya Ukimwi?
Na je wanajamvi mambo km haya yalishawahikukutokea!
Au labda unapokutana na mwanamke anakupa sababu kama hizi anakuibia, na kuna anachotafuta!
Nimepata stori kutoka kwa jamaa zangu wawili tofauti kwa muda tofauti.
Mmoja anasema Girl Friend wake analalamika kua kondom inamsababishia kuwashwa sehem za siri.
Wa pili anasema Girl Friend wake anaumia watumiapo kondom.
Haya mambo huenda yakawa yanatokea kwa wengine na kwa kweli kama yakikutokea umeshakolea matokeo ni kufanya unsafe sex.
Je kwa namna hii kweli kondoms inakidhi kweli lengo lake la kuzuia maambukizi kwa population ye2 kubwa ya ki-tz dhidi ya maambukizi ya Ukimwi?
Na je wanajamvi mambo km haya yalishawahikukutokea!
Au labda unapokutana na mwanamke anakupa sababu kama hizi anakuibia, na kuna anachotafuta!