Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,791
- Thread starter
- #21
Utakuwepo?Kumbe hamjajipanga? Halafu mnatilia shaka ushindi wa Maghufuli? Namuomba Komu aje aishi kwa kauli yake na isije ikawa vinginevyo! Nasubiri kuona!
Utakuwepo?Kumbe hamjajipanga? Halafu mnatilia shaka ushindi wa Maghufuli? Namuomba Komu aje aishi kwa kauli yake na isije ikawa vinginevyo! Nasubiri kuona!
Watu makini watajua ukweli na kusoma halama za nyakati...
Kumbe bado mna matumaini ya kutinga ikulu? Mna kazi sana!Utakuwepo?
Mbowe, LOWASSA, na sasa Komu!! Kawaida yao
Ko mmeamua mtoe jiwe la chato ambako pia ni kaskaziniWatanzania sio wajinga mpaka tutoe nchi kwa genge la wahuni wa kaskazini
Wengi tunamuamini mkuuKo mmeamua mtoe jiwe la chato ambako pia ni kaskazini
Tunapoteza fedha nyingi kuigiza kama tuna DemokrasiaFact
Hapanaunadhani CCM itadumu milele?
Masahihisho kidogo Tume ya uchaguzj na polisi wanampenda kinoma na ndiyo watakao mfanya ashinde wananchi wapige kura wasipige yeye atatangazw mshindiMwambieni aanze safari sasa ya kurudi kijijini kulima maana ushindi kwa Rais Magufuli 2020/upo wazi, tena Watanzania Wazalendo tungependa atawale milele.