Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Kuna mazungumzo hapa moshi vijijini kwamba mawakala wa chadema wanaamini kwamba mgombea wao ndugu Komu aliuza ushindi wa chadema akidhani ulikuwa ushindi wake. Mawakala wote wanadai Komu aliongoza katika vituo vyote na wananchi walipigana kufa na kupona. Wanajilaumu kutokumlinda mgombea wao. Wamevunjika moyo sana. Ni usaliti unaokatisha wananchi tamaa