Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Tuko pamojaMkuu sioni sababu ya kumtuhumu mtu bila kuwa na solid evidence. Watuambie ni vituo gani Komu alishinda
kwa kura ngapi na ni wapi Dr Chami alishinda/alishindwa tukiweza kupata hiyo idadi tumuiplicate.
Vinginevyo tutakuwa tunamtuhumu bure Komu. Itafurahishwa pia kupata udhibitisho kutoka kwenye chama
kama wanazo speculation zozote