YeshuaHaMelech
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 2,597
- 37
No, Iwe deleted kabisa!UNLESS KUNA SOLID EVIDENCE THIS THREAD IFUNGWE
No, Iwe deleted kabisa!UNLESS KUNA SOLID EVIDENCE THIS THREAD IFUNGWE
nilichelewa sana kuanzisha hii thread kwa sababu nilidhani ningeweza kupata data. watu walianza kulalamika kidogo kidogo. sasa hivi ni gumzo kila kona moshi vijijjini kwamba Komu aliuza nguvu za wananchi. mawakala 20 ambao nimeongea nao idadi ya kura waliyonayo inaonesha Komu kuongoza kwa zaidi ya kura 2000. lakini hii siyo sababu ya kusema kwamba alishinda, isipokuwa mawakala hao waliwasiliana na wenzao pia na wengi wanashangaa Chami alipata ushindi vituo gani.
chadema moshi vijijini watoe edadi ya kura katika kila kituo cha kupigia kura walizopokea kutoka kwa mawakala. kwa kuwa mawakala wanafahamiana na wanatumia simu, itakuwa rahisi kila wakala kuhakiki kama idadi ya kura zilizotolewa na Ofisi ya Chadema ndizo wakala huyo alizituma alizozituma. Hii itasaidia kurudisha imani kwa wananchi ambao sasa wanaamini wamedhulumiwa.
Hata baba yangu mwenye miaka 70 haamini kama Chami alishinda kwa idadi ya kura
Ndugu habari yako.Kabla hujaandika habari nzito kama hizi unatakiwa kwanza ukae chini na utafakari kwa kina.Inawezekana wewe unaona hili ni jambo dogo sana lakini kumbuka uancheza na maisha ya watu hapa.Hivi unamfahamu Komu au umesikia tu?Komu hawezi kuuza jimbo kwa kuwa anafahamu Ubunge is worth than any amount of money.Yaani apigane weee halafu mwishoni auze jimbo,haiwezekani.Jamani sio kila manchokisikia ni cha ukweli muwe mnajaribu kupambanua kwanza.Inasikitisha sana!!!!
MH.Regia[mb]....nimepita huko karibuni na nimesikia huu uvumi kwa watu wa kawaida kabisa.......,niliudharau na sikujuwa kuwa utafika huku....ushauri wangu kwenu ni huu.......lazima mjuwe kuwa ccm inatumia mfumo wa kipropaganda wa old east......kila baada ya uchaguzi huwa wanapenda kueneza propaganda za aina hii na kugombanisha wapinzani.....ili uchaguzi unafuatia wasiaminike......[angalia kazi waliyofanya baada ya mafanikio ya upinzani 1995,mjuwe kuwa tayari wameingia kazini]
wanaeneza uvumi kwa wananchi wa kawaida kuwa komu amehongwa milioni 400 na chami na system.
Uvumi wa aina hii pia ulienezwa wakati wa kampeni kwa Godbless Lema kuwa wananchi wasihangaike kwani hata akishinda atachukuwa pesa.....,kukawa na uvumi mwingine wa kumuhusidha muheshimiwa zitto kabwe na kujitowa kwa mpinzani wa NIMROD mkono.....hata pale mwanza kulikuwa na uvumi kuwa jimbo litauzwa......we have to understand these guys wanataka kuwagonganisha....
Ni muhimu uwashauri wagombea ubunge wote wa chadema wakisaidiwa na nyinyi wabunge na viongozi wengine kufanya ziara za kuwashukuru wananchi na kuwaeleza hali halisi[aidha walioshinda au kushindwa ...wote]...nimeona juzi gazetini Mpendazoe amefanya mkutano.....ni muhimu wote mfanye hivyo.....ili kujijengea imani kwa wananchi....tena kwa hili Komu na wengine wanatakiwa aanze haraka kuondoa huu uvumi ...na pale ambapo mnaona kuna ushahidi wa kutosha kwenda mahakaamani ..ni vema kuwaeleza wananchi hatua zitakazofuatia..na ikibidi kuwaomba michango ya hali na mali kuleta ukombozi wa ukweli....
Pia fuatilieni ...tunaelezwa kuwa wakurugenzi wa halmashauri ambazo CHADEMA mmeshinda wanahamishwa na kufukuzwa kazi....msipowapazia sauti kimataifa na kitaifa .....kura zenu zitaendelea kuchakachuliwa na wakurugenzi ili kulinda ajira zao......mkipaza sauti itasaidia kuwapa watendaji hawa uhuru kwenye utendaji wao...uhamisho na kufukuzana kazi baada ya uchaguzi ni batili....
Kule Arusha wanasema kuwa uhamisho wa Kamanda wao wa POLISI Basilio Matei....ulitokana na msimamo wake wa kukataa kusimamia kutangazwa Batilda kwa mabavu.........akiogopa damu kumwagika ..na aliwaeleza mazingira hayaruhusu......kamanda huyo pamoja na wengine wenye tatizo kama lake wamehamishwa ......pamoja na kuwa kuwa wengine waliostahili....bado nalo linatakiwa lipaziwe sauti ili watendaji wa serikali ...waweze kutenda kazi kwa uhuru siku zijazo........liangalieni hili kwa mapana na uzito wake!
Nawasilisha...
kuna ukweli kuwa matokeo ya kata mbili ambazo zilimpa ushindi chami yalichakachuliwa. ushahidi unatafutwa na tunategemea komu ambaye yuko dodoma atakuwa moshi next week tayari kupeleka kesi mahakamani
kuna ukweli kuwa matokeo ya kata mbili ambazo zilimpa ushindi chami yalichakachuliwa. ushahidi unatafutwa na tunategemea komu ambaye yuko dodoma atakuwa moshi next week tayari kupeleka kesi mahakamani
Kuna mazungumzo hapa moshi vijijini kwamba mawakala wa chadema wanaamini kwamba mgombea wao ndugu Komu aliuza ushindi wa chadema akidhani ulikuwa ushindi wake. Mawakala wote wanadai Komu aliongoza katika vituo vyote na wananchi walipigana kufa na kupona. Wanajilaumu kutokumlinda mgombea wao. Wamevunjika moyo sana. Ni usaliti unaokatisha wananchi tamaa
kuna hali ya kutatanisha, mpaka jana kesi ilikuwa bado haijaenda mahakamni, licha ya kwamba draft ilikuwa tayari. kuna mtu anaitwaa akwilini chuwa ni lazima abanwe kisawasawa. kuna ukweli kuwa chami yuko moshi akijitaidi kuzuia kesi hii isiende mahakamani,, eti kuupoteza uwaziri wake ni sawa na kuwapotezea muda wananchi wa moshi . akwilini chuwa alizima simu jana siku nzima, komu ambaye yuko hanang au karatu amerudi moshi haraka kujua kulikoni? akwilini chuwa ni kiongozi wa chadema ngazi ya mkoa, msisahau pia ni mkibosho sawa na chami,sasa ukibosho sijui unaingilia hapa?Mkuu Mwikimbi,
heshima kubwa kwako mkuu. wiki zimepita mkuu tunaomba updates angalau
kuna hali ya kutatanisha, mpaka jana kesi ilikuwa bado haijaenda mahakamni, licha ya kwamba draft ilikuwa tayari. kuna mtu anaitwaa akwilini chuwa ni lazima abanwe kisawasawa. kuna ukweli kuwa chami yuko moshi akijitaidi kuzuia kesi hii isiende mahakamani,, eti kuupoteza uwaziri wake ni sawa na kuwapotezea muda wananchi wa moshi . akwilini chuwa alizima simu jana siku nzima, komu ambaye yuko hanang au karatu amerudi moshi haraka kujua kulikoni? akwilini chuwa ni kiongozi wa chadema ngazi ya mkoa, msisahau pia ni mkibosho sawa na chami,sasa ukibosho sijui unaingilia hapa?
du kwa hili chadema fanyeni kazi ya ziada mimi ni mwanajimbo hilo wiki iyopita mama alikuwa hapa dar nijaribu kumdodosa kuhusu hili haonyeshi kama mr A KOMU kauza jimbo ila wanajiuliza chami kashindaje?Mama ni mtu potential pale kwenye serikal ya kijiji kwa hiyo anavijitaarifa vya kuchoshwa vya wanakijiji wenzake.