johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,532
- 141,334
Mbunge wa viti maalumu komredi Polepole amesema muda ukifika tutahitaji Katiba inayosimamia mifumo na siyo inayomtegemea mtu mmoja.
Polepole alikuwa akijibu swali la mtangazaji nguli barani Afrika Aloyce Nyanda aliyetaka kujua maoni yake kuhusu katiba mpya.
Polepole amesema ni lazima tuwe na viongozi wanaoheshimu na kuiishi katiba ndipo wananchi watakuwa na furaha ya kweli ndani ya nchi yao.
Polepole amesema kuna nchi duniani katiba zao hazijaandikwa popote lakini viongozi wao wanaziishi hizo katiba
Chanzo: Star tv!
Polepole alikuwa akijibu swali la mtangazaji nguli barani Afrika Aloyce Nyanda aliyetaka kujua maoni yake kuhusu katiba mpya.
Polepole amesema ni lazima tuwe na viongozi wanaoheshimu na kuiishi katiba ndipo wananchi watakuwa na furaha ya kweli ndani ya nchi yao.
Polepole amesema kuna nchi duniani katiba zao hazijaandikwa popote lakini viongozi wao wanaziishi hizo katiba
Chanzo: Star tv!