Mfalme wa Genge
Senior Member
- Mar 30, 2018
- 190
- 224
CCM ni kawaida yao kubadilisha uongozi hata nafasi ya Mwenyekiti lakini sio zile pande nyingine. Kama kuna chama ambacho mgombea Urais hajawahi kuruhusu mtu agombee kiti cha Urais tangu uchaguzi vyama vingi uanze mwaka 1995. Na mwingine hajawahi kuachia nafasi ya Uenyekiti tangu chama kimeanza. CCM hakika mna demokrasia ya kweli.
Soma: Kutoka NEC ya CCM: Mrithi wa Kinana ni Dr. Bashiru Ally. Apitishwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa CCM
Soma: Kutoka NEC ya CCM: Mrithi wa Kinana ni Dr. Bashiru Ally. Apitishwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa CCM