Life starts at 45
JF-Expert Member
- Sep 22, 2015
- 974
- 932
Wasalam wakuu,
Natumani mu wazima wa afya, hili tatizo linanitesa tokea jana kila nikiwasha computer inakomea hapo, nimeajribu kuwek CD ya window kusudi nishushe lakini bado mwisho wa siku inakomea hapo hapo, msaada unahitakika kutoka kwenu wajuzi wa haya mambo Chief mkwawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Natumani mu wazima wa afya, hili tatizo linanitesa tokea jana kila nikiwasha computer inakomea hapo, nimeajribu kuwek CD ya window kusudi nishushe lakini bado mwisho wa siku inakomea hapo hapo, msaada unahitakika kutoka kwenu wajuzi wa haya mambo Chief mkwawa
Sent using Jamii Forums mobile app